jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,206
- 5,454
Ndugu yangu kaambiwa damu yake chafu ina bacteria wengi inatakiwa kusafishwa shida hatujui galama ni kiasi gani kwa hospital za serikal na binafsi, tunaomba msaada kwa mtu anaye jua gharama zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app