Kuna siku nipo na cruiser ya kazini kioo kilipasuka wakati tupo kwenye Miseletukaenda kwa fundi akafunga kipya. Gharama plus ufundi ilikuwa elfu 90 Sikuamini kama ni chiep hivyo.
Hivyo naamini kioo kinaweza kuanzia 120k hadi 150k kama hakuna kishoka wa njaa kali hapo kati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.