chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,208
Nasumbuliwa na jino linauma balaa sitaki kulin'goa maana mapengo niliyonayo yanatosha, alafu Kuna mtu kanitisha kaniambia ukienda kun'goa jino umri huu 30+ unaweza kupata shida kwenye macho.
Kama Kuna mtu anajua dawa ya jino anisaidie jana sijalalaa, nikila chakula cha moto maumivu maji ya baridi maumivu.
Dawa ya jino bila kun'goa jino.
Kama Kuna mtu anajua dawa ya jino anisaidie jana sijalalaa, nikila chakula cha moto maumivu maji ya baridi maumivu.
Dawa ya jino bila kun'goa jino.