Ndio hivyo nakwambia. Mie nliwahi kuumwa nikawa nafikiri ni jino kumbe fizi zilikua na shida. Sasa kama wewe meno yako yanang'oka tu huoni utakua na shida nyingine. Kinywa kina mambo mengi sio kila maumivu ni jinoHuenda shida haiko kwenye jino.
Umesoma nilichoandika awali
Mababu zetu walikuwa waaminifu,siku hizi matapeli ni wengi kila mahali kuna vishoka kwa sababu ya uvivu wa kufanya kazi.Ndo maana anaomba ushauri ili apate dawa sahihi bila kutumia gharama kubwa Kama ulivyosema mababu zetu walitumia dawa za asili walikuwa very strong.
Kama unakaa nje ya mji kama mbezi,mpiji,madale,bunju inapatikana.Duh! huo mti kuupata sasa!
Kama upo Dar,nenda buguruni kwenye mataa yanayounganisha barabara inayotokea Ilala na ile ya Mandela,ukiwa kwenye hiyo junction unapokuwa unatokea Ilala mkono wa kushoto kuna watu wanauza madawa ya asili,kajipatie dawa ya meno pale hutahitaji kung'oa.Basi na mimi nitafariki maana meno yangu karibu yote ni mabovu huwa yanalegea bila kuuma na kutoka yenyewe ila hili linauma na Kuna lingine ukiligusa linauma pia
Wewe ni muongo!Tumemzika mtu wiki hii kwa kugoma kung'oa jino, kuja kushtuka yule mdudu alikua ameharibu fizi vibaya sana, amefariki maskini.
DuhKuna dawa Moja ipo kama CHUMVI ya mawe!
Bahati mbaya nilipewa Zambia, na hawakunambia inaitwaje lakini nasikia hata Tanzania ipo.
Unaweka Hilo jiwe linalofanana na CHUMVI, Kisha mdomo wote una chachuka na kushika ganzi
Ukifanya hivyo mara 3 umepona kabisa, nitaulizia jina
Sidhani Kama huko IPO, na siikumbuki jina.Intelligent businessman
Tutajieni hiyo dawa
Kuziba inategemea na stage ikishakuwa severe huwez ziba na inategemea limetoboka upande gan ,pia kuziba pia kuna Aina kuna ya mda mref na mfup ya mda mref garama ni kubwaNasumbuliwa na jino linauma balaa sitaki kulin'goa maana mapengo niliyonayo yanatosha, alafu Kuna mtu kanitisha kaniambia ukienda kun'goa jino umri huu 30+ unaweza kupata shida kwenye macho.
Kama Kuna mtu anajua dawa ya jino anisaidie jana sijalalaa, nikila chakula cha moto maumivu maji ya baridi maumivu.
Dawa ya jino bila kun'goa jino.
Nikushauri nenda kasafishe halafu uzibe acha na hizi dawa temporary , kikawaida jino likishakuwa na tundu basi kuendelea kuchimbika ni rahisi mno maana kusafisha chakula kinachoingia ndani ya tundu inakuwa ngumu hivyo ni bora uende hospitali ukasafishwe kitaalamu halafu wakuzibe .Nasumbuliwa na jino linauma balaa sitaki kulin'goa maana mapengo niliyonayo yanatosha, alafu Kuna mtu kanitisha kaniambia ukienda kun'goa jino umri huu 30+ unaweza kupata shida kwenye macho.
Kama Kuna mtu anajua dawa ya jino anisaidie jana sijalalaa, nikila chakula cha moto maumivu maji ya baridi maumivu.
Dawa ya jino bila kun'goa jino.
HahahahaDuh
Watu waliopona dawa hawazikimbuki jmn
Ndo shida ya dawa asili.Sidhani Kama huko IPO, na siikumbuki jina.
👉Ila uwe una tafuna kkarafuu, ni tiba pia
BalaaaHahahaha
kweli hatuzikumbuki hii anayo semea wakati mdogo niliwahi wekewa, jino lilikua limetoboka, ilikua mbeya hiyo mwaka 2000, ila sikujuaga hata ina itwaje lilikua jiwe tu kama la chumvi, kikubwa baada ya kuwekewa sikuumwaga tena jinoDuh
Watu waliopona dawa hawazikimbuki jmn
Shida ubishiii wako!!!Ndo shida ya dawa asili.
Kuoata ni issue
Wengi matapeli
Hakuna Cha karafuu Wala nn
Nimeng'oa meno 5Shida ubishiii wako!!!
Nioneshe😝Nimeng'oa meno 5
Kwahiyo hivi unavyovisema hakuna ambacho sijaitumia
Unafikiri meno 5 mchezo?
Ndo ujue nishahangaika sn ht hizo karafuu,sijui ndulele ,kitinguu swaumu
🙌
PoleTupo idadi sawa, nimetimiza 5,hapa ninayo matatu tena juu mawili chini moja, sijui lipi litaanza.