Mdadamwema.
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 150
- 169
Nawasalimu wakuu.
Mwenye kujuwa dawa ya hii shida naomba anisaidie tafadhali.
Ninashida ya kufa ganzi viganja vya mikono hasa kwenye vidole yaani huwa vinapokezana,vinaweza kufa ganzi vidole viwili vya mwisho au vya Kati tu au wakati mwingine kiganja kizima, na mikono pia hupokezana,na hii hutokea nikiwa usingizini,nikishituka mara nyingi huwa nakutana na hii hali,nikivitikisa tikisa Hali hiyo hupotea.
Hali hii ilinianza miaka miwili iliyopita baada tu yakufanyiwa upasuaji kwenye kizazi kwa ajili ya kuondolewa uvimbe/ fibroids, baada ya upasuaji huo nilipatagwa na hali fulani ya kushoka Sana na udhaifu mkubwa ila baadae ni ka recover na ndipo nilipoanza kuhisi hali hii, hali hii huja na kutoweka, yaani wakati mwingine hutoweka kabisaa na baadaye kurejea tena,naona sasa hivi imenirejea tena, niliwahi kwenda hospital Dr akaniandikia dawa ni nuro support, lakini hata sijapona, yaani ganzi huwa inajiondokea yenywe na kurudi tena, naona sasa hivi imenianza tena, mwenye kujuwa dawa naomba anisaidie wakuu.
Mwenye kujuwa dawa ya hii shida naomba anisaidie tafadhali.
Ninashida ya kufa ganzi viganja vya mikono hasa kwenye vidole yaani huwa vinapokezana,vinaweza kufa ganzi vidole viwili vya mwisho au vya Kati tu au wakati mwingine kiganja kizima, na mikono pia hupokezana,na hii hutokea nikiwa usingizini,nikishituka mara nyingi huwa nakutana na hii hali,nikivitikisa tikisa Hali hiyo hupotea.
Hali hii ilinianza miaka miwili iliyopita baada tu yakufanyiwa upasuaji kwenye kizazi kwa ajili ya kuondolewa uvimbe/ fibroids, baada ya upasuaji huo nilipatagwa na hali fulani ya kushoka Sana na udhaifu mkubwa ila baadae ni ka recover na ndipo nilipoanza kuhisi hali hii, hali hii huja na kutoweka, yaani wakati mwingine hutoweka kabisaa na baadaye kurejea tena,naona sasa hivi imenirejea tena, niliwahi kwenda hospital Dr akaniandikia dawa ni nuro support, lakini hata sijapona, yaani ganzi huwa inajiondokea yenywe na kurudi tena, naona sasa hivi imenianza tena, mwenye kujuwa dawa naomba anisaidie wakuu.