toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,836
- 10,256
Ni maamuzi yako hakuna anae kulazimisha.
kwakweli ndio mana nikasema mimi , nimeongelea nafsi yangu
Ni maamuzi yako hakuna anae kulazimisha.
Nenda SUA.Wakuu Habari,
Naomba msaada wa kujua chuo kinachotoa kozi za IT hapa Morogoro mjini kwa ngazi ya cheti kuna mdogo wangu anapenda kusoma IT.
Asante Kwa ushauri mkuuAende dar, kama anataka kosomea kilimo cha mkonge ndio asomee hapo moro
Asante Mkuu Kwa ushauriSUA-Mazimbu wanatoa hiyo kozi kuanzia ngazi ya certificate, diploma hata degree
Heading ya TitleKwa heading ya title hiyo tutaelewana kweli
Duh hayo ni maajabuHeading ya Title
morogoro simshauri mtu kusoma IT,aende dar au dodoma CIVE;Sua is the best
Vyuo vyetu ni changamoto Sana usipojiongeza, unakuta chuo kinatoa kozi ya IT ila hakuna computers zenye uwezo wa wanafunz wa IT kujifunza vizurii na unakuta Ni chache. So usipojiongeza unabak na cheti chako mfukon basiMpeleke IFM atakuwa vizuri zaidi! Mi nina I.T ya SUA ya kwenye cheti ila kimsingi utundu mwingi nimejifunzia mtandaoni.
Hata ungekua na IT ya Harvard kama sio mtu wa kujiongeza utakua EMPTY SET.Mpeleke IFM atakuwa vizuri zaidi! Mi nina I.T ya SUA ya kwenye cheti ila kimsingi utundu mwingi nimejifunzia mtandaoni.