kahata Member Jan 17, 2021 88 52 Aug 26, 2021 #1 Naomba kujuzwa bei za simu zifuatazo madukani: Samsung j7pro, samsung c9pro, samsung a9pro, samsung s8plus.
Naomba kujuzwa bei za simu zifuatazo madukani: Samsung j7pro, samsung c9pro, samsung a9pro, samsung s8plus.
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,755 Aug 26, 2021 #2 Ukipata bei ya Samsung C9 Pro nami niambie naisaka sana.
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,704 39,782 Aug 26, 2021 #4 Mbona simu za zamani sana hizo, huwezi pata mpya Bali ni refurb na used, mwisho wa siku utauziwa vimeo.
Mbona simu za zamani sana hizo, huwezi pata mpya Bali ni refurb na used, mwisho wa siku utauziwa vimeo.