Naomba Kujuzwa Bei za Ardhi katika mkoa uliyopo.

PRINCE CROWN

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
5,211
4,170
wasalaam, wandugu watanzania wenzangu. Naomba waliopo mikoani wanijuze Bei ya Mashamba kwa heka Moja.

Niwapi Ambapo Ardhi ni bei nafuu, nataka kuwekeza kwenye kilimo wandugu.

Asanteni na Mungu Awabariki Sana.
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Japo umepotea jukwaa lkn nitakusaidia tu njoo pande za huku jangwani sahara kama ni ardhi tu utasalenda we mwene
 
Karibu sumbawanga ardhi inanrutumba nzuri sana na ekali moja ni kati ya tshs 150000 hadi 200000
 
1465572230221.jpg
 
Back
Top Bottom