bei ni 4000 hadi 5000 kwa metre 1, kwa tv ya nchi 32 nakuushauri chukua meter 2, so ni elf 10 na adapter yake ambayo ina remote ni 25000, niPm km utahitaji mkuuView attachment 1668189View attachment 1668190
Ndio mkuu. Dukani Bei ni sh ngapi?Nadhani yeye anahitaji Backlight za ndani ya Tv sio urembo wa nje ya Tv. Ni zile Led strips zinazosababisa picha kuonekana kwa Led tv
ni LED MKUU.!Sasa zipo mara mbili TV yako ni LED LCD. Lazima ufahamu ili ujue unataka taa za aina gani
Aina ya tv ni zec inch 32!Mkuu hizo zonategeme na Tv yenyewe ila syo chini ya 180000
Kama upo
Tayari nipange nitakufungia mm ni fund
0714894219
Mbona mnapiga sana watu bei kubwa ivo, au ndio tupo uchumi wa kati?Mkuu hizo zonategeme na Tv yenyewe ila syo chini ya 180000
Kama upo
Tayari nipange nitakufungia mm ni fund
0714894219
mkuu.kwa hapa bongo napata kwa sh ngapi?Mbona mnapiga sana watu bei kubwa ivo, au ndio tupo uchumi wa kati?
Ukiagiza online hizo LED strips ni kama Tsh 50,000 tu. Gharama ya ufundi isizidi Tsh 30,000.
View attachment 1671559
mkuu.ni kwamba taa zinazo toa mwanga za tv yangu zimeungua. ndo naulizia zinauzwaje dukani!??Ukiweka TV inakuwaje, tujulishane maana naweza ni kafunga hata kwenye star x yangu