Decodier
Member
- Jul 3, 2020
- 69
- 87
Lengo la huu uzi ni kutaka msaada kama kuna watu ambao wana ufahamu na uzoefu juu ya biashara za vifaa vya kompyuta. Mimi sio mzoefu wa mambo ya computer hardware.
Naomba kujua bei ya power supply ya DELL ambayo ni used je ninaweza kuiuza kuanzia shilingi ngapi? Maana nawafahamu vizuri mafundi wa simu na kompyuta ni walanguzi kwelikweli.
Pia mbali kwa mafundi wa kompyuta ni sehemu ipi nyingine ambayo ninaweza kwenda kuiuza.
Naomba kujua bei ya power supply ya DELL ambayo ni used je ninaweza kuiuza kuanzia shilingi ngapi? Maana nawafahamu vizuri mafundi wa simu na kompyuta ni walanguzi kwelikweli.
Pia mbali kwa mafundi wa kompyuta ni sehemu ipi nyingine ambayo ninaweza kwenda kuiuza.