luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Wadau habari zenu .. heading ni console nafahamu wapenzi wa video games mpo aware na hii kitu.
Personally nimepitwa kushoto na hii kitu japo nimekuwa interesting now days na hio kitu, kuna mambo nqomba watalaam washare knowledge kidogo
1.Console inapatikana kwa bei gani? (Kuagiza online)
2. je ni vipi mtu anaweza agiza au kununua online mfano labda kupitia alibaba, aliexpress or ebay (which one is the most konki )
MSAADA KUJUZANA
Personally nimepitwa kushoto na hii kitu japo nimekuwa interesting now days na hio kitu, kuna mambo nqomba watalaam washare knowledge kidogo
1.Console inapatikana kwa bei gani? (Kuagiza online)
2. je ni vipi mtu anaweza agiza au kununua online mfano labda kupitia alibaba, aliexpress or ebay (which one is the most konki )
MSAADA KUJUZANA