Naomba kujuzwa Bei ya BMW X3 2008/2011 kwa mtu na sio Befowars wala Japanese dealers

Shukran sana Sema ungenipa pros and Cons mapema ili nijue nalitake care vipi nikishanunua
 
Habarini Wana jamvi,

Nilikuwa naulizia bei au gharama za kununua BMW X3 kwa mtu. Maana nikubali sana hii Mashine ya Mjerumani so naombeni kujuzwa ili nilifanikisha hili Inshallah
Kwa mtu Sasa tutajuaje Bei? Acha uswahili ingia mtandaoni uchukue chombo epukana na presha za madalali feki
 
Cruise auto spare ni wauzaji wa spear party za magari
Jeep,
BMW,
Audi,
Land rover,
Porsche,
Volkswagen,
Chrysler,
Range/Land rover

Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz restaurant,Arusha

Kwa mawasiliano piga +255743805465,+255786050747
Email:cruisespares@gmail.com
Fb&IG:cruiseautospareparts

Pia usisite kuwasiliana nasi pia tunatoa ushauri.
 
Cruise auto spare ni wauzaji wa spear party za magari
Jeep,
BMW,
Audi,
Land rover,
Porsche,
Volkswagen,
Chrysler,
Range/Land rover

Duka linapatikana MAKAO MAPYA,EDEN ROAD jirani na cafe laziz restaurant,Arusha

Kwa mawasiliano piga +255743805465,+255786050747
Email:cruisespares@gmail.com
Fb&IG:cruiseautospareparts

Pia usisite kuwasiliana nasi pia tunatoa ushauri.
Great
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom