Kutembeza mitaani?Kuuza sabuni na vipodozi
ndio yani door to doorKutembeza mitaani?
Hawa jamaa wanahusika na biashara za kutembeza majumbani na vijana wake wengi ndo wale wanaovaaga kachumbali nikiwa na maana nguo wanazovaa haziendani mfano unakuta kijana kavaa tai jekundu, shati la kijani na suruali ya njano.Kwa kifupi ni kwamba hizo ni kazi za darasa la saba na hata hao darasa la saba sio wote ambao wana moyo wa kufanya hii kazi.
Hawa jamaa wanahusika na biashara za kutembeza bidhaa majumbani na vijana wake wengi ndo wale wanaovaaga kachumbali nikiwa na maana nguo wanazovaa haziendani mfano unakuta kijana kavaa tai jekundu, shati la kijani na suruali ya njano.Kwa kifupi ni kwamba hizo ni kazi za darasa la saba na hata hao darasa la saba sio wote ambao wana moyo wa kufanya hii kazi.
Hao kila siku wanahitaji vijana wa kazi, huwa watu wanachemka kazi hiyo ndio maana wanatafuta wengineAsanteni sana maana wanahitaji vijana wa kazi, mmenifungua ufahamu sasa