nkumbison
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 2,219
- 2,970
Tafuteni hela ndugu yenu awe huru, Polisi sio watu wazuri kabisa hasa wakishatangaza dau. Hapo jueni idadi ya askari wenye huo mchongo then kila mmoja mtafutieni hata 30 kama mna mtu mzuri wa Sound hata ten ten watamuachia.
Bila hivyo hapo ni bangi wanamuongezea na siasa. Mtamsahau.
Bila hivyo hapo ni bangi wanamuongezea na siasa. Mtamsahau.