cheetah255
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 1,373
- 2,385
Wakuu habari za muda huu,
Naomba kujuzwa ada kwa wanafunzi wa O Level especially form one ni kiasi gani kwa sasa. Shule inaitwa Msolwa Secondary ipo Kilombero Morogoro.
Kwa anayejua tafadhali anieleze na utaratibu wa kupata form.
Naomba kujuzwa ada kwa wanafunzi wa O Level especially form one ni kiasi gani kwa sasa. Shule inaitwa Msolwa Secondary ipo Kilombero Morogoro.
Kwa anayejua tafadhali anieleze na utaratibu wa kupata form.