Naomba kujulishwa vigezo vya selection za masomo ya science mwaka huu zipoje

Alvin cloud

Member
Oct 16, 2016
25
21
Mwaka huu naona kam utaratibu ume badilishwa kwa sababu kwa miaka mingine flat C kwa masomo ya science en D ya math ilikuwa ni kawaida bt mwaka huu kuna watu wamekosa nafasi za kuchahuliwa kusoma science kwa point hizo mwenye detailed info anijulishe.
 
Thnkx mkuu bt hii haiangalii grades ulixo nazo e.g pcb zote una c en math una d bado ni kikwazo kusom pcb
by the way nlimaanisha!!!!!!!!!!!! how about grades u have they do they can make you get such combination example!!! PCB all of them you got grade C EN Math u got grade D is that an obstacle for u to learn PCB. I meant that!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom