Naomba kujulishwa mila, tamaduni na desturi za Wakaguru

Kati ya makabila ambayo yanapoteza muda kwenye salam ni hawa.mkikutana utasikia mgona hani....digoya,nyenye...chigona viswanu...eh!eh.hizo eh eh ndo nusu saa itapita.ukiwa umeongozana nae akikutana na mkaguru mwenzie na hawajaonana kitambo,we endelea tu na safari.
 
Mimi ni Mtanzania chotara wa Kinyakyusa na Kisukuma ila nimetokea kumpenda binti wa Kikaguru na ningependa kujua kwa ndani mila, tamaduni na desturi zao ikiwemo namna wananvyo mama mjamzito, mama mzazi na malezi ya watoto, nafasi ya mqanaume katika jamii, mapishi na vyakula, shughuli zao za uchumi, matambiko, mazishi, ndoa na mahari nk
Asanteni sana wadau.
Kipendacho roho ula chama mbichi
Mkuu wakaguru Ni wazuri Sana kwa sura na ata rangi zao
Kasoro yao moja Ni Malaya mno
Ni maji mara moja,hawajui kusema No
Utatafuniwa Sana aisee
Huwa hawadumu kwenye ndoa Hawa aisee ,na utakuta wamezalishwa nyumbani wengine

Nimekutana nao Sana kilosa,gairo,mpwampwa,kongwa,kipindi mpakani na gairo na handeni
I konow them

Hitimisho
Ukitaka kumla Bata usimchunguze hakika ukitumia msemo huu utafanikiwa kuoa huyo binti wa kikaguru
 
Mkuu nilikuwa huko juzi,na mimi nimeoa mkagulu mkuu,kiujumla niwatu wenye heshima kwa wakwe zao pia hawana makuu
 
Kipendacho roho ula chama mbichi
Mkuu wakaguru Ni wazuri Sana kwa sura na ata rangi zao
Kasoro yao moja Ni Malaya mno
Ni maji mara moja,hawajui kusema No
Utatafuniwa Sana aisee
Huwa hawadumu kwenye ndoa Hawa aisee ,na utakuta wamezalishwa nyumbani wengine

Nimekutana nao Sana kilosa,gairo,mpwampwa,kongwa,kipindi mpakani na gairo na handeni
I konow them

Hitimisho
Ukitaka kumla Bata usimchunguze hakika ukitumia msemo huu utafanikiwa kuoa huyo binti wa kikaguru
Kabila gani sio Malaya?
 
Back
Top Bottom