Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikua 6 na watatu walihukumiwa tayari wakabaki hawa watatuKwa Mujibu wa Taarifu Tulizopata ni kwamba waliokua wametuhumiwa na Mheshimiwa Mbowe katika kesi ya Ugaidi walishahukumiwa na wameanza kutumikia kifungo?
Iweje leo wamerudishwa mahakamani? Au walikata rufaa?
Kwa Mujibu wa Taarifu Tulizopata ni kwamba waliokua wametuhumiwa na Mheshimiwa Mbowe katika kesi ya Ugaidi walishahukumiwa na wameanza kutumikia kifungo?
Iweje leo wamerudishwa mahakamani? Au walikata rufaa?
Source: Samia Suluhu kwenye mahojiano na BBC Swahili - Dira ya Dunia.Chanzo cha taarifa hiyo ni kipi ndugu!?
Chai imezidi majani hii.Walikua 6 na watatu walihukumiwa tayari wakabaki hawa watatu