Naomba kujulishwa jinsi ya kufika Brazil

Visa imekuwa ngumu balaa especially kwa mataifa makubwa Kama marekani wameongeza vikwazo njia rahisi inayotumika kwa sasa ni kupitia NGO na churches
Dear huko kuna madili kibao uwe na ela kidogo tuu mkononi (no free meal in Africa ) jaribu makanisa Kama Romani catholic na mengineyo !

NGO za wamama na vijana kuna conferences, seminars mambo Kama izo unachomekewa mambo yanakuwa mepesi maana watakukingia kifua

Pia vyama vya michezo as in kutoka kitaifa kimichezo (hapa michezo ambayo ni unpopular huku bongo ) karate , sarakasi etc

Huku hutoi ela nyingi Kama kwa agent ! Cha msingi kuwa na pesa yako mkononi anza tafiti mwenyewe mdogomdogo kwa walengwa hao hapo juu !!

Kuwa makini all the best mama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa, dada unaonekana una hamu sana na safari ya SAO PAULO, Brazil kutamu jamani.

Nakumbuka Waghana walioenda kuangalia kombe la dunia 2014 walitaka kubaki kama wakimbizi wakisingizia kwao kuna vita za wenyewe kwa wenyewe.

Kule maisha matamu kama una hela, fukwe nzuri, vyakula cheap, starehe za kutosha.

Anyway, nakutakia kila la kheri na ufanikishe safari yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mimi nataka nijipitie zangu njia mtu ananiletea habari za ajabu.mara anipe invitation.nilimuomba??kama nilishapata mwenyeji huko kupitia njia zangu mwenyewe leo hii mtu akurupuke huko aje ajinasibu eti anialike.kama sio kiherehere ni kitu gani hiko??nimeuliza njia za kwenda kama hajui apite kushoto.Asante kwa kunipa moyo.kesho nikifanikiwa atakua wa kwanza kuniuliza na ID mpya nilifanyaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Visa imekuwa ngumu balaa especially kwa mataifa makubwa Kama marekani wameongeza vikwazo njia rahisi inayotumika kwa sasa ni kupitia NGO na churches
Dear huko kuna madili kibao uwe na ela kidogo tuu mkononi (no free meal in Africa ) jaribu makanisa Kama Romani catholic na mengineyo !

NGO za wamama na vijana kuna conferences, seminars mambo Kama izo unachomekewa mambo yanakuwa mepesi maana watakukingia kifua

Pia vyama vya michezo as in kutoka kitaifa kimichezo (hapa michezo ambayo ni unpopular huku bongo ) karate , sarakasi etc

Huku hutoi ela nyingi Kama kwa agent ! Cha msingi kuwa na pesa yako mkononi anza tafiti mwenyewe mdogomdogo kwa walengwa hao hapo juu !!

Kuwa makini all the best mama

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante.nilijaribu njia ya michezo ila ikasitishwa na balaa la COVID 19 mchezo wa riadha.Ila yote heri.Nia ya mtu huongozwa na mwenyezi Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajaribu kukuelewesha unaleta ujuaji.... I could provide you with an invitation to São Paulo then u-find your way to America idiota


Sent using Jamii Forums mobile app
Listen you dumba $$ I never asked you any invitation whatsoever.i just needed clarity on some issues which you happen to dammit not be able to provide.So sit yo Broke shirhole down.nobody asked for your opinion here.If you can't say anything positive wachana na mimi.period
 
Nchi nyingi za South amerika ni visa free... jaribu ku Google ni zipi. Then unaingia hizo then unaenda mexico. Kuna jamaa yangu alifanya hivyo.
Sent From Galaxy S9
Nimeona Brazil pia ni visa free shida ni kujua je,ni kweli waliokwisha kwenda pale wanapewa visa on arrival au la??ubalozi wamesitisha visa za Brazil kwa mujibu wa Mkuu Mwandende.Na nia yangu ni kupita njia katika kukamilisha challenge ya South America to north America without using planes.I hope tunakwenda sawa?
 
Nimeona Brazil pia ni visa free shida ni kujua je,ni kweli waliokwisha kwenda pale wanapewa visa on arrival au la??ubalozi wamesitisha visa za Brazil kwa mujibu wa Mkuu Mwandende.Na nia yangu ni kupita njia katika kukamilisha challenge ya South America to north America without using planes.I hope tunakwenda sawa?
Nimekuelewa. Huyo jamaa alipita Ecuador akaingia mexico. Akapata smugglers wakamfikisha mpaka Texas. Kufika texas akakamatwa wekwa jela alikua na ndugu kule wakamfanyia mpango akatoka akawekwa Camp. Kakaa huko mpaka alivopata asylum. Sio rahisi kama unavyofikiria. Lakini mguu wa kutoka umebarikiwa katafute maisha.

Sent From Galaxy S9
 
Nimeona Brazil pia ni visa free shida ni kujua je,ni kweli waliokwisha kwenda pale wanapewa visa on arrival au la??ubalozi wamesitisha visa za Brazil kwa mujibu wa Mkuu Mwandende.Na nia yangu ni kupita njia katika kukamilisha challenge ya South America to north America without using planes.I hope tunakwenda sawa?

Kwendraaaaaaa .... una hasira kama mi ndo niliyekunyima Visa....tuliza mshono ulee watoto
 
Listen you dumba $$ I never asked you any invitation whatsoever.i just needed clarity on some issues which you happen to dammit not be able to provide.So sit yo Broke shirhole down.nobody asked for your opinion here.If you can't say anything positive wachana na mimi.period

Pita hivi....Ila karibu Terra da Garoa or Sampa mkuu . Ukifika unishtue
 
Ushawahi kusikia mtu anaenda brazil kutembea au kufanya kazi! Aise utarudi huna nguo kamanda..sikushauri uende, utayakumbuka maneno yangu...ni heri uende nchi zilizostaarabika kama vile Argentina, Canada, Uingereza, Singapore, Malaysia, Ethiopia au nchi za uarabuni.

Huu ndo ukweli mtupu 100%. Tena nakazia hapo, kama lengo lake ni kwenda kufanya kazi Brazil basi atakuja kujuta maamuzi yake.
 
Back
Top Bottom