Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,013
- 1,993
Ulishasema wadada warembo
Ulishasema wadada warembo
Mi nishasafiri sana.India,China,Malaysia na makazi yangu South Africa.sio safari yangu ya kwanza.Najua nachokifanya kama unafkiri nimekurupuka pole sana.Huyu kijana sijui nani kamshawishi, nchi yenyewe inahitaji msaada kama huku, ufuska wote unapatikana huko, atarudi na chupi we mwache na atakuja kusimulia hapa
Wanajamvi naomba maelekezo kidogo. Mwenzenu nikitaka kufika Brazil naendaje?
Kule nina mwenyeji tayari anaishi Sao Paolo.Je ni lazima kupanda ndege au hata kwa meli nitafika??safari hii tupo watu wawili na tunapita njia tu tukielekea Mexico kujaribu kuingia Marekani kisha Canada.
Kwa anaejua njia naomba mawazo yenu na ujuzi wenu.nataka intake risk nijaribu kufika nchi ya ahadi baada ya janga la Corona kupoa. Asanteni
Utakua lini?Mkuu kama unataka kuwahi panda kiazi kitamu kama huna haraka chukua baiskeli
Vaa barakoa, tumia sanitizer, sali sana. Kusafiri utasafiri baada ya kunusurika na corona
Anazunguja sana kwanini asiende Bahamas au caribien island yoyoteNdugu jifunze kwanza, tafuta taarifa za kutosha suala ulilouliza hukupaswa kuuliza watu maana hayo yote ulitakiwa kuyajua kabla hujaamua kuuliza.
Mm niliwahi kufika Brasil mwaka 2014, nakumbuka kulikuwa kunamaandalizi ya mashindano ya kombe la Dunia kama sikosei, ila mm sikuenda kushughudia michuano hiyo nilikwenda kwa dhamira nyengine na nashkuru nilifanikiwa na kurudi zangu Tz. Kwaiyo nitajaribu kushare taarifa chache nlizonazo walau tujuzani, pengine zinaweza kuwa bado hazijapitwa na wakati.
Sawa, ni hivi ukitaka kwenda Brasil usitumie South African Airways nakushauri utumie Emirates Airlines hii ni kwasababu ukitumia shirika la ndege la South wataanza kutilia mashaka sana kuhusu dhamira ya safari yako kutokana na ongezeko la vijana wanatumika kusafirishia madawa kutoka ama kuingia Brasil wanatumia Shirika la ndege la South. Hivyo nilichogundua shirika la ndege la Emirates sio mara nyingi kutumia na wabeba madawa sijui kwa nn.
Pili binafsi nnampanga wa kuingia Canada ila si kwanamna unayopanga ww, nakushauri kama unataka kuingia Canada jipange vizuri, tafuta taarifa kwa vyanzo vinavyoaminika halafu tafuta wataalamu wanajua kuandaa nyaraka zinazohitajika kwa ajili ya uombaji wa viza wakuongoze vyema. Katika hili nakushauri ujiandae kifedha kwa sababu kila hatua inahitaji fedha kufanikiwa, usighofu kutumia fedha ila kuwa makini na kudeal na waru wasioaminika. Visa zinatoka ila watz tunatakiwa tujipange vizuri kabla hatujaingia pale kituo cha kuombea visa cha iom Msasani peninsula kituoni ofisi za IOM "vfs global tanzania".
Nakushauri usizunguuke kote huko, jipange utobolee palepale IOM Visa Centre.
KILA LA KHEIR MKUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeambiwa Carribean Islands hapaingiliki.nina contact na marafiki kama watano pale wanasema hapaingiliki kabisa bora Mexico ni rahisi kuingia na ukaendelea mbele kuliko CarribeanAnazunguja sana kwanini asiende Bahamas au caribien island yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nishasafiri sana.India,China,Malaysia na makazi yangu South Africa.sio safari yangu ya kwanza.Najua nachokifanya kama unafkiri nimekurupuka pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je huu ni ushauri au maoni??kama huna something positive please ruka huu uzi.Nikamatwe kwa lipi??unaniona wa kuja au??pita vile tafadhaliI’m in São Paulo.....wewe Gru Airport utakamatwa asubuhiii maana jamaa wana airport security sijapata ona....uta deportiwa mapemaaaa ....Karibu São Paulo
Sent using Jamii Forums mobile app
Je huu ni ushauri au maoni??kama huna something positive please ruka huu uzi.Nikamatwe kwa lipi??unaniona wa kuja au??pita vile tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenge wewe nilikwambia nitarudi?Duh pole sana ila sijui utapitia airport ipi na huo unga wakati wa kurudi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuomba wewe.pita kushoto na jifunze kubalance shoboKama sio wa kuja umekuja kuomba ushauri wa nn pimbi wee....tulia nchini kwako mavi ya popo
Sent using Jamii Forums mobile app
NB:KAMA UNAKUJA HAPA KUNIPA WOSIA,SIJUI KUNIONYA SITAKI.NIMESHAAMUA NASAFIRI,NITASAFIRI.VYOVYOTE ITAVYOKUA NITASAFIRI.PLEASE SITAKI MAWOSIA SIJUI NITAKUFA WAT WAT.ACHA NIFE NI FAMILIA YANGU NDIO ITAYOFILISIKA SIO YAKO.NIACHENI NIENDE MBONA HIVYO??UKINIJIA PM KUNIPA WOSIA NAKUANIKA HAPA.SITAKI HIZO
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila jf unaweza kujiua kwa comments za huku a seeTunajaribu kukuelewesha unaleta ujuaji.... I could provide you with an invitation to São Paulo then u-find your way to America idiota
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa, dada unaonekana una hamu sana na safari ya SAO PAULO, Brazil kutamu jamani.Je huu ni ushauri au maoni??kama huna something positive please ruka huu uzi.Nikamatwe kwa lipi??unaniona wa kuja au??pita vile tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app