gen parton
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 642
- 407
Tupo hapa Mwanza mitaa ya Nyasaka mtaani kwetu kuna kipindi tuliandamwa na wezi wavunjaji nyumba na kuiba tukaanzisha kikundi cha ulinzi kwa kuwalipa kila mwezi zaidi ya 2m , ila hapa mtaani kuna Askari polisi huwa anajitoa sana kila litokeapo tukio usiku huwa frontline na hutusaidia sana ,
Ndipo wanajumuiya hii ya Nyasaka wakaona ni vema tumnunulie chombo cha usafiri yaani pikipiki na akabidhiwe iwe yake binafsi ,
Imenunuliwa kupitia michango binafsi ya wadau hapa mtaani ,
Swali
1, hii tuite rushwa au takrima ?
2, mtumishi wa umma anapopewa zawadi huu ni hatua zipi za kufuata?
3, Je hii pikipiki itakua mali yake binafsi au mali ya kituo alichopo
4, Akihama atahama nayo au ataiacha kituoni alipo
5, Ni lazima amjulishe mwajiri ?
Naomba kuelimishwa katika hili kwa wenye uelewa wa sheria tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndipo wanajumuiya hii ya Nyasaka wakaona ni vema tumnunulie chombo cha usafiri yaani pikipiki na akabidhiwe iwe yake binafsi ,
Imenunuliwa kupitia michango binafsi ya wadau hapa mtaani ,
Swali
1, hii tuite rushwa au takrima ?
2, mtumishi wa umma anapopewa zawadi huu ni hatua zipi za kufuata?
3, Je hii pikipiki itakua mali yake binafsi au mali ya kituo alichopo
4, Akihama atahama nayo au ataiacha kituoni alipo
5, Ni lazima amjulishe mwajiri ?
Naomba kuelimishwa katika hili kwa wenye uelewa wa sheria tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app