Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,377
Natanguliza shukrani.
Ipi bora 1st edition na latest??45000,first edition
Ukinunua 1st edition hutoelewa 'chochote' mle wametumia vipimo vya UK kabla hawajaanzisha SI unity.Ipi bora 1st edition na latest??
Mie ninacho nitamuuzia kwa cheap price nnacho softcopyKama unaweza kuagiza eBay ni rahisi na unaangalia inayokufaa
Kwa 25,000 unapata ongeza na gharama ya kutumiwa
View attachment 1687372
Kama utachangia gharama kidogo nitakuuzia tu mkuu kwa cheap price ila ni softcopyNatanguliza shukrani.View attachment 1687240
Mie ninacho nitamuuzia kwa cheap price nnacho softcopy
Ni yeye tu akihitaji aje inboxUtakua umemsaidia sana
Barikiwa
mkuu umenchekesha sana.Ukinunua 1st edition hutoelewa 'chochote' mle wametumia vipimo vya UK kabla hawajaanzisha SI unity.
Nikiwa form one, mwaka 1999, niliwahi kubambikwa Abbot 1st edition, kwa Tsh elfu 3 mia tano.. Niliteseka nayo!
Mle vipimo ni pound(lb), yard, foot nk.... Mambo ya meter, kilogram n.k hayamo.
Edition ya ngapi sasa mkuu maana saiv wako edition sijui ya 8. Nataka nifundishie madogo zangu bhana maana pepa za form 4 saiv hazikamatiki, km ya mwaka jana ni balaa tupu.Kama utachangia gharama kidogo nitakuuzia tu mkuu kwa cheap price ila ni softcopy
Hii screenshot yakeSijajua ni edition ya ngapi maana niliki scannView attachment 1687489
Mkuu huwa natamani sana kufanya manunuzi ya mtandaoni tatizo sasa huwa wanadai sijui viza, mara credit n.k hapo ndo huwa nakwama.Kama unaweza kuagiza eBay ni rahisi na unaangalia inayokufaa
Kwa 25,000 unapata ongeza na gharama ya kutumiwa
View attachment 1687372
Toleo la tatu na la nne kwangu Mimi niliona viko poa zaidi,!!,Ipi bora 1st edition na latest??
Mkuu huwa natamani sana kufanya manunuzi ya mtandaoni tatizo sasa huwa wanadai sijui viza, mara credit n.k hapo ndo huwa nakwama.
Physics always ni historia ila ni gate la kukufungulia dunia.Kasome kiswahili au jiografia. Tena wanafizikia waliobobea huwa wanaitwa theoretical physist.Historia ya physics
Ni wachache wenye uelewa kama wakoPhysics always ni historia ila ni gate la kukufungulia dunia.Kasome kiswahili au jiografia. Tena wanafixikia waliobobea huwa wanaitwa theoretical physist.
Ukisoma physics dunia hskuna kitakachokusumbua, wala kuuliza uliza maswali ya kininga jinga.