Naomba kujui ni nani aliyeanzisha resolution ya kupiga kura kuunga au kutounga uvamizi wa Urusi

Frustration

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
3,095
4,059
Kuna kitu kimeanzishwa na kuzichora nchi za dunia ya nne na tatu hasa za Afrika.

Sina imani na aliye asisi mchakato huu kwanza umepelekea athari za moja kwa moja Ukraine. Upigaji kura wa nchi ambazo hata kama hazipo kwenye NATO, imepelekea kwa Ukraine kuwabagua wananchi ambao nchi zao zimekataa kutoinga Urusi. Tukio hili kwangu binafsi ni propaganda kama zilivyo propaganda zingine ila nataka kujua ni nchi au taasisi gani imeanzisha utaratibu huu?

Mwenyekiti(USA) wa NATO nae kapiga kura ya kumkana Urusi. Naomba kujua ni nani anayepiga hii kura kwa niaba ya nchi yake na kwa namna gani taarifa inafika katika nchi ili ipige kura.

Sikumbuki kama nyuma imewahi pigwa kura ya namna hii kupinga uvamizi wa nchi na nchi. Yawezekana tokea vita ya pili ya dunia hakujawahi tokea uvamizi wa namna hii,ila vipi kuhusu Iran,Afghanstan,Iraq,Libya,Syria na Palestine?. Au bara la ulaya ni special sana na hizo nchi za Afrika ,Mashariki ya kati na Asia ni takataka tu katika uso wa dunia?
Uvamizi huu angefanya nchi kama USA,je hii kura ya turufu ingepigwa? Kwa nn?.
 
Wewe Kura yako ni ipi? Alaf kama Una unga kuvamiwa huku unataka watu wako watendewe poa kule Ukraine basi utakuwa bonge la kichwa maji
Sujazungumzia Yes na No to war. Nachomainisha ni hii nguvu na kuungana Kwa dunia tena kwa kura ni utaratibu endelevu au upo kimkakati tu?. Lakini pia nilitaka kujua ni nan kinara na mwanzilishi wa wazo hili la kupiga kura?
 
UONGO NA UPOTOSHAJI
MWENYEKITI WA NATO SIO USA.
Kuna kitu kimeanzishwa na kuzichora nchi za dunia ya nne na tatu hasa za Afrika.
Sina imani na aliye asisi mchakato huu kwanza umepelekea athari za moja kwa moja Ukraine. Upigaji kura wa nchi ambazo hata kama hazipo kwenye NATO, imepelekea kwa Ukraine kuwabagua wananchi ambao nchi zao zimekataa kutoinga Urusi. Tukio hili kwangu binafsi ni propaganda kama zilivyo propaganda zingine ila nataka kujua ni nchi au taasisi gani imeanzisha utaratibu huu?
Mwenyekiti(USA) wa NATO nae kapiga kura ya kumkana Urusi. Naomba kujua ni nani anayepiga hii kura kwa niaba ya nchi yake na kwa namna gani taarifa inafika katika nchi ili ipige kura.
Sikumbuki kama nyuma imewahi pigwa kura ya namna hii kupinga uvamizi wa nchi na nchi. Yawezekana tokea vita ya pili ya dunia hakujawahi tokea uvamizi wa namna hii,ila vipi kuhusu Iran,Afghanstan,Iraq,Libya,Syria na Palestine?. Au bara la ulaya ni special sana na hizo nchi za Afrika ,Mashariki ya kati na Asia ni takataka tu katika uso wa dunia?
Uvamizi huu angefanya nchi kama USA,je hii kura ya turufu ingepigwa? Kwa nn?.
 
Sujazungumzia Yes na No to war. Nachomainisha ni hii nguvu na kuungana Kwa dunia tena kwa kura ni utaratibu endelevu au upo kimkakati tu?. Lakini pia nilitaka kujua ni nan kinara na mwanzilishi wa wazo hili la kupiga kura?
Huo upigaji wa Kura upo kwa ajili ya nchi ya Urusi,China, NK na Iran ila sio kwa Marekani pamoja na uonevu wake woote duniani.
 
Huo upigaji wa Kura upo kwa ajili ya nchi ya Urusi,China, NK na Iran ila sio kwa Marekani pamoja na uonevu wake woote duniani.

Mutoe China kwenye group hilo, mana hata hao Wamarekani wanamtegemea ndo waje siku 1 wapige kura kisa kaikalia Taiwan ama Hongkong Kimabavu? Waafrica wataingia mitini kwenye maamuzi hayo.
 
Kuna kitu kimeanzishwa na kuzichora nchi za dunia ya nne na tatu hasa za Afrika.
Sina imani na aliye asisi mchakato huu kwanza umepelekea athari za moja kwa moja Ukraine. Upigaji kura wa nchi ambazo hata kama hazipo kwenye NATO, imepelekea kwa Ukraine kuwabagua wananchi ambao nchi zao zimekataa kutoinga Urusi. Tukio hili kwangu binafsi ni propaganda kama zilivyo propaganda zingine ila nataka kujua ni nchi au taasisi gani imeanzisha utaratibu huu?
Mwenyekiti(USA) wa NATO nae kapiga kura ya kumkana Urusi. Naomba kujua ni nani anayepiga hii kura kwa niaba ya nchi yake na kwa namna gani taarifa inafika katika nchi ili ipige kura.
Sikumbuki kama nyuma imewahi pigwa kura ya namna hii kupinga uvamizi wa nchi na nchi. Yawezekana tokea vita ya pili ya dunia hakujawahi tokea uvamizi wa namna hii,ila vipi kuhusu Iran,Afghanstan,Iraq,Libya,Syria na Palestine?. Au bara la ulaya ni special sana na hizo nchi za Afrika ,Mashariki ya kati na Asia ni takataka tu katika uso wa dunia?
Uvamizi huu angefanya nchi kama USA,je hii kura ya turufu ingepigwa? Kwa nn?.

Hili ombi lilipelekwa kwenye baraza kuu la Umoja wa Mataifa na Balozi wa Ukraine kwenye umoja wa mataifa tarehe 28 February mwaka huu.

Jambo kama hili lilitokea tena mwaka 1982 ambapo Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa mataifa wakati huo Dr. Salim Ahmed Salimu alipeleka ombi la kutaka umoja wa Matifa utoe tamko la kuilaani Israel kutokana na kitendo chake cha kuikalia kwa mabavu sehemu ya Palestina.

Siku hizi kama taifa tupo tupo tu! Tnayumbayumba kama bendera
 
Jana nimemuona Raisi wa ukraine aiseh!!jamaa yupo very frustrated Sana aiseh!!
Hakika....

Urusi inazidi tu kuchukua miji mikubwa....Mariupol uko chini yao na lengo haswa ni kuufikia mji wa bandari ya magharibi ya Ukraine uitwao Odessa ulio katika bahari nyeusi(black Sea)....wakishaushika huo ina maana watakuwa wanaunganisha hapo na Crimea.....SHUGHULI ITAKUWA IMEKWISHA HIYO......
 
Back
Top Bottom