Kusema kweli hili jambo silielewi kabisa, kwani polisi ni wale wale,je ni kwa nini hivi sasa kuna ongezeko la vibaka na matukio ya kihalifu na hawaogopi uwepo wa vyombo vya dola?
Je, huenda ni mgomo tu wa polisi au maisha yamekuwa magumu zaidi?
Wataalamu wa sosholojia mtuambie ni kwanini hali hii inatokea?
Je, huenda ni mgomo tu wa polisi au maisha yamekuwa magumu zaidi?
Wataalamu wa sosholojia mtuambie ni kwanini hali hii inatokea?