The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,435
- 17,076
Habari ya wakati huu.
Wakuu, najifunza kupika baada ya kuamua kupunguza kula migahawani.
Naomba kujua viungo au namna tofauti tofauti za kupika nyama au samaki. Namaaniaha viungo vya kuweka kwenye mchuzi wa nyama iwe nzuri zaidi.
Najua kupika nyama ile kawaida, kuweka nyanya, karoti, pilipili hoho, kitunguu na chumvi. Ila hua nakula migahawani nyama inanukia vizuri na inaladha nzuri, naambiwa umewekewa viungo tofauti tofauti.
Naomba kufundishwa au kuelekezwa viungo vya kupikia nyama au samaki.
Ahsanteni sana.
Wakuu, najifunza kupika baada ya kuamua kupunguza kula migahawani.
Naomba kujua viungo au namna tofauti tofauti za kupika nyama au samaki. Namaaniaha viungo vya kuweka kwenye mchuzi wa nyama iwe nzuri zaidi.
Najua kupika nyama ile kawaida, kuweka nyanya, karoti, pilipili hoho, kitunguu na chumvi. Ila hua nakula migahawani nyama inanukia vizuri na inaladha nzuri, naambiwa umewekewa viungo tofauti tofauti.
Naomba kufundishwa au kuelekezwa viungo vya kupikia nyama au samaki.
Ahsanteni sana.