Naomba kujua vitabu vya combination ya PCM Form 5 na 6

Alevet

Senior Member
Jan 4, 2014
125
61
Wadau nina mtoto anaenda form five PCM, mimi mzazi natakiwa kumnunulia vitabu, ninachojua ni Nelkon kwa physics. Je, vingine vizuri ni vya aina gani wakuu?
 
1. Physics
•Nelkon
•Roger Muncaster
•University Physics
•Understanding Physics
•Chand (zipo 2 ya form 5&6)
•Pamphlets zipo nyingi atachambua yeye atakayoipenda na kuielewa maana zimeandaliwa na Watu tofauti tofauti

2. Chemistry
•Mzumbe organic and inorganic chemistry
•Pamphlet la Mwl anaitwa Mkandawile(limeandikwa kwa mkono), lipo la Organic Chemistry, Physical Chemistry, Inorganic Chemistry
•Pamphlet la Soil chemistry la Issue Boy

3. Advanved Math
•Pure Mathematics (I &II)
•Atafute Mwl mzuri wa namba akishanolewa akaiva hawezi kushindwa kusolve kitabu chochote cha namba, kuna Mwl mmoja anaitwa Mwalami alikuwa na Centre Mchikichini(sijui kama bado yupo) alisifika sana kufundisha hesabu, amtafute akanolewe.


NB: Advance ni juhudi yako hata kama una walimu wazuri wa kukufundisha
 
Kwa advance mathematics
Pure 1 &2
Chandy volume volume x1 & x11
Understanding math
Tranter (shetani mwekundu)
Usisahau review pia ambazo ziko current 1&2
 
Thank you
1. Physics
•Nelkon
•Roger Muncaster
•University Physics
•Chand (zipo 2 ya form 5&6)
•Pamphlets zipo nyingi atachambua yeye atakayoipenda na kuielewa maana zimeandaliwa na Watu tofauti tofauti

2. Chemistry
•Mzumbe organic and inorganic chemistry
•Pamphlet la Mwl anaitwa Mkandawile(limeandikwa kwa mkono), lipo la Organic Chemistry, Physical Chemistry, Inorganic Chemistry
•Pamphlet la Soil chemistry la Issue Boy

3. Advanved Math
•Pure Mathematics (I &II)
•Atafute Mwl mzuri wa namba akishanolewa akaiva hawezi kushindwa kusolve kitabu chochote cha namba, kuna Mwl mmoja anaitwa Mwalami alikuwa na Centre Mchikichini(sijui kama bado yupo) alisifika sana kufundisha hesabu, amtafute akanolewe.


NB: Advance ni juhudi yako hata kama una walimu wazuri wa kukufundisha
 
Best books !!
PHYSCS
1.CHAND 1$2
2 NELKON
3.ABC

CHEMISTRY
1.NGAIZAA...physcal ,orgnc,inorgnc
2CHAND 1$2

MATH
1.chand
2.engineering mathmtcs
3.tranter
4.oxford
 
1. Physics
•Nelkon
•Roger Muncaster
•University Physics
•Understanding Physics
•Chand (zipo 2 ya form 5&6)
•Pamphlets zipo nyingi atachambua yeye atakayoipenda na kuielewa maana zimeandaliwa na Watu tofauti tofauti

2. Chemistry
•Mzumbe organic and inorganic chemistry
•Pamphlet la Mwl anaitwa Mkandawile(limeandikwa kwa mkono), lipo la Organic Chemistry, Physical Chemistry, Inorganic Chemistry
•Pamphlet la Soil chemistry la Issue Boy

3. Advanved Math
•Pure Mathematics (I &II)
•Atafute Mwl mzuri wa namba akishanolewa akaiva hawezi kushindwa kusolve kitabu chochote cha namba, kuna Mwl mmoja anaitwa Mwalami alikuwa na Centre Mchikichini(sijui kama bado yupo) alisifika sana kufundisha hesabu, amtafute akanolewe.


NB: Advance ni juhudi yako hata kama una walimu wazuri wa kukufundisha
Na kwenye maths aanze na Calculus maana ndio msingi wa pure mathematics
 
Na kwenye maths aanze na Calculus maana ndio msingi wa pure mathematics
Si kweli, msingi wa pure mathematics ni TRIG, ukiiweza trig jua kabisa calculus umeiweza, complex number umeiweza, algebra umeiweza, coorinates 1 and 2 umeiweza.

Kwa kifupi trig ndio kila kitu kwenye pure!
 
Wadau nina mtoto anaenda form five PCM, mimi mzazi natakiwa kumnunulia vitabu, ninachojua ni Nelkon kwa physics. Je, vingine vizuri ni vya aina gani wakuu?

Wasukutishe Sana Vitabu Ni Vitano Tu
PHYSICS
CHAND YA PHY
VITINI VYA MGOTE NA ALLY ABDALLAH
:solving ya Mapast Papers Mpaka siku Moja kabla ya Necta

CHEMIA
TIE YA TZ CHEMIA
Vitini Vya Mjomba Unga na Ngaiza
:past Papers kila siku on solving

PURE
Past Papers On solving
Vitini vya Kitedy

Zingine Hua Mbwembwe tu Ila NECTA penda Watoto Yaja Kinyonge
 
Tranta nilienda nayo shule ilaa niliishia kuifadhi kwa tranka ,maana kila swali ukisolve mule lazima ubongo uwake moto
ahahhah... mkuu tranter sio kitabu cha kujifunzia..
kipindi nimeingia FIVE.. mwalimu alianza na logic then cordinate geometry 1.
mwalimu alivyo maliza ile mada.. nilimuelewa sana tena sana.. nikasema ngoja nianze kutembelea vitabu mbalimbali ili niive kwenye hiyo mada.. ikabidi nichukue tranter.. ahahahah...
kuna swali nilikutana nalo mule , yaan like swali ni la intersecting circles.. umepewa equations mbili halafu moja ina unknown.. WE!!! ilinibidi niipereke kwa pcm form six,. ahahaha...
jamaa alivoona lile swali akaniuliza, we dogo umeingia form five na kuanza ku-solve TRANTER??? ... yaani form six wote wakanigeukia na kunicheka.. yaani nilikuwa kituko mule form six..ahahaha.. kwa sababu hamna aliyekuwa anakisolve kime kitabu.. baada ya hapo.. kuanzia siku hiyo.. nilitunza tranter mpaka nimefika form six.. mwezi wa kumi ndo nikaanza kutafuta TRANTER kwenye TRANKER..
ahahahhaah.. I WILL NEVER FORGET WALIVINONICCHEKA WALE FORM SIX PCM
 
ahahhah... mkuu tranter sio kitabu cha kujifunzia..
kipindi nimeingia FIVE.. mwalimu alianza na logic then cordinate geometry 1.
mwalimu alivyo maliza ile mada.. nilimuelewa sana tena sana.. nikasema ngoja nianze kutembelea vitabu mbalimbali ili niive kwenye hiyo mada.. ikabidi nichukue tranter.. ahahahah...
kuna swali nilikutana nalo mule , yaan like swali ni la intersecting circles.. umepewa equations mbili halafu moja ina unknown.. WE!!! ilinibidi niipereke kwa pcm form six,. ahahaha...
jamaa alivoona lile swali akaniuliza, we dogo umeingia form five na kuanza ku-solve TRANTER??? ... yaani form six wote wakanigeukia na kunicheka.. yaani nilikuwa kituko mule form six..ahahaha.. kwa sababu hamna aliyekuwa anakisolve kime kitabu.. baada ya hapo.. kuanzia siku hiyo.. nilitunza tranter mpaka nimefika form six.. mwezi wa kumi ndo nikaanza kutafuta TRANTER kwenye TRANKER..
ahahahhaah.. I WILL NEVER FORGET WALIVINONICCHEKA WALE FORM SIX PCM
Tranter una solve mifano tu
 
Back
Top Bottom