DAVIES KILANGI
Senior Member
- Nov 25, 2018
- 174
- 117
sawa
Sasa kanda ya Ziwa nayo inavyuo basiUsilo lijua bwana, Ubuntu inaongoza kanda ya ziwa kwa kufundisha Nina ushahidi, km hujui unanyamaza usiseme vyuo vya kijinga usifuate ukubwa wa chuo au mob ya watu angaria kile unacho vuna .no ya sim hii hapa 0768 853 050. mwenye nia ya kusoma sheria, na lazima MTU ufanye utafiti make ni uamzi wa MTU.
Sio lazima asome cert. Inawezekana alifauku form six.We uko wapi na unataka usomee wapi na ili usome dip lazima uanze na certificate in law so mim ni mwanafunz WA certificate Ubuntu k mwnza km una nia nikutmie za principal WA chuo
Morogoro ndo nataka niendeTabora ,mwanza,morogoro, Mtwara, mbeya, chagua pakwenda mwenyewe
Kuna ilonga morogoro, kuna kilombero na ifakara kote huko ni vyuo vya kilimoMorogoro ndo nataka niende
Vyote ni vya selikali ama na private labdaKuna ilonga morogoro, kuna kilombero na ifakara kote huko ni vyuo vya kilimo
Na vya private vinavyo toa diploma ya kilimo na mifugo ni vipi?!Vyote ni vya selikali ama na private labda
PaleEti Ubuntu...ubuntu si programe gani sijui ya computer? Bora mngekiita Chato College au JPM college...
Btw iyo ni takataka kama takataka nyingine tandabui, amazon, global college sijui nini
Mtu akasome chuo chenye "kutambuliwa" na serikali bana sasa Ubuntu dah
haya mavyuo yetu hayaangalii vipaji, yanaangalia vyeti
Hana hata kimojaKama una cheti cha form four na ada hauhitaji connection. Vyuo vipo kibao
Sent using Jamii Forums mobile app