Naomba kujua uzoefu wa uongozi kwa Mwenyekiti mtarajiwa wa CCM.

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Wanabidi, nijuavyo Mimi Mh Kikwete anayemaliza muda wake alianza kua mwenyekiti wa cmm ngazi mbali mbali akiwa kijana Mdogo sana, Nakumbuka sana alipokua Mwenyekiti wa CCM mkoani wa Singida kama sehemu mojawapo aliyowahi kuishi kipindi hicho alikua ni kijana Mdogo sana. Kikwete anaifahamu CCM vizuri kuanzia matawi mpaka ngazi ya taifa. Ni mzoefu wa structure yote ya uongozi ndani ya CCM tena alikua ni kijana anayelelewa na Mwalim Nyerere enzi hizo.


Nauliza tu, vipi uzoefu wa wagombea wa uenyekiti wanaotegemewa moja kati yao kushika nafasi hiyo? Kutokua na uzoefu wa kukifahamu chama vizuri hakuna athari yeyote? Hatutakua na chama chenye uongozi wa mwendokasi kweli?

Nimeuliza hili kwa sababu ni rahisi sana kuongoza endapo mtu atakua anaijua administrative structure ya chama vizuri. Uenyekiti sio sawa na nafasi kama ya katibu mkuu ambaye yeye ni mtendaji tu lakini hawezi kua na power ya kuamua mambo flani makubwa yakihusuyo chama.
 
Wanabidi, nijuavyo Mimi Mh Kikwete anayemaliza muda wake alianza kua mwenyekiti wa cmm ngazi mbali mbali akiwa kijana Mdogo sana, Nakumbuka sana alipokua Mwenyekiti wa CCM mkoani wa Singida kama sehemu mojawapo aliyowahi kuishi kipindi hicho alikua ni kijana Mdogo sana. Kikwete anaifahamu CCM vizuri kuanzia matawi mpaka ngazi ya taifa. Ni mzoefu wa structure yote ya uongozi ndani ya CCM tena alikua ni kijana anayelelewa na Mwalim Nyerere enzi hizo.


Nauliza tu, vipi uzoefu wa wagombea wa uenyekiti wanaotegemewa moja kati yao kushika nafasi hiyo? Kutokua na uzoefu wa kukifahamu chama vizuri hakuna athari yeyote? Hatutakua na chama chenye uongozi wa mwendokasi kweli?

Nimeuliza hili kwa sababu ni rahisi sana kuongoza endapo mtu atakua anaijua administrative structure ya chama vizuri. Uenyekiti sio sawa na nafasi kama ya katibu mkuu ambaye yeye ni mtendaji tu lakini hawezi kua na power ya kuamua mambo flani makubwa yakihusuyo chama.
Wee mburula ombi lako kamwe haliwezi kuwa "News Alert"!!

Huko shule ulikwenda kujifunza ujinga?
 
Wanabidi, nijuavyo Mimi Mh Kikwete anayemaliza muda wake alianza kua mwenyekiti wa cmm ngazi mbali mbali akiwa kijana Mdogo sana, Nakumbuka sana alipokua Mwenyekiti wa CCM mkoani wa Singida kama sehemu mojawapo aliyowahi kuishi kipindi hicho alikua ni kijana Mdogo sana. Kikwete anaifahamu CCM vizuri kuanzia matawi mpaka ngazi ya taifa. Ni mzoefu wa structure yote ya uongozi ndani ya CCM tena alikua ni kijana anayelelewa na Mwalim Nyerere enzi hizo.


Nauliza tu, vipi uzoefu wa wagombea wa uenyekiti wanaotegemewa moja kati yao kushika nafasi hiyo? Kutokua na uzoefu wa kukifahamu chama vizuri hakuna athari yeyote? Hatutakua na chama chenye uongozi wa mwendokasi kweli?

Nimeuliza hili kwa sababu ni rahisi sana kuongoza endapo mtu atakua anaijua administrative structure ya chama vizuri. Uenyekiti sio sawa na nafasi kama ya katibu mkuu ambaye yeye ni mtendaji tu lakini hawezi kua na power ya kuamua mambo flani makubwa yakihusuyo chama.
Uzoefu ni hoja isiyo na reasoning yoyote, wala rational analysis. Chama(CCM) ni taasisi ya watu tena wachache ambao hata milioni 10 hawafiki.Ishu ni ability kuwa kiongozi. Magufuli amekuwa mwalimu kwa miaka mingi(akiongoza watu).Magufuli amekuwa mbunge kwa miaka 15(akiongoza watu). Magufuli amekuwa waziri kwa miaka mingi(akiongoza watu).Magufuli amekuwa Raisi kwa miezi 8 sasa(akiongoza watu zaidi ya mil.50). Ni dhahiri kabisa Magufuli was born a leader amethibitisha hilo kwa miezi hii michache kama raisi.Ajenda ya uzoefu inatoka wapi? Je ni ya msingi?Je niya kweli? Ajenda hii ni ya wongo mtupu. Watu mna mambo yenu ndo mnajificha kwenye ajenda ambayo haina mashiko. Tafuteni nyingine. Magufuli ana uzoefu wa uongozi kupita hata kiasi kinachotakiwa. Hakuna chuo cha kusomea umwenyekiti. Umwenyekiti ni uongozi kama ulivyo mwingine kwasababu watu ni walewale wananchi wa TZ. JPM anatosha kwa nafasi ya umwenyeketi.
 
mtoa maada wewe una uwezo gani kuongoza watu?? ulishawahi hata kutoa constructive point hata humu jf??hivi uko chama gani ili niwe huru kukuuliza swali?
 
Hizi threads za kulipwa zina madhara yake. Ukilipwa hujali hata kusema uongo. Kikwete hakuwahi kuwa mwenyekiti wa CCM mahali popote Tanzania isipokuwa TYL UDSM (1972-73). Maeneo mengine alipofanya kazi za Chama alikuwa ameajiriwa kwa nafasi kadhaa hususan Katibu Msaidizi wa Chama wa Wilaya.

Lakini kuna hii fallacy ya uzoefu wa uenyekiti wa Chama. Uenyekiti ni kitu gani. Mkapa akuwahi kuwa mwenyekiti wa CCM ngazi yoyote hadi baada ya kuchaguliwa urais (1995). Baadaye Mwl. A.H Mwinyi alimwachia uenyekiti. Hakuna aliyeweza kuulizia uzoefu wa uongozi au uenyekiti ndani ya chama katika ngazi yoyote.

Niwashauri wala rushwa na mafisadi wote mliokuwa mmejificha ndani ya CCM kuwa mnachoweza kufanya kwa sasa ni kutubu hadharani madhambi yenu na kuomba msamaha kwa umma ikiambatana na kurudisha mali za umma mlizoiba kwa visingizio mbali mbali. JPM atakabidhiwa uenyekiti kama ilivyopangwa na iwapo mtakuwa bado hamjatubu mtakuja kulia na kusaga meno. Nchii hii hatutaki kurudi kwenye rushwa tena. Acha JPM atusaidie kusafisha nchi iliyojaa uchafu kila kona za ofisi za serikali na CCM. Kila mtu anatakiwa kuishi kwa jasho lake. Hayo ndio maisha yanayompendeza Mwenyezi Mungu.
 
hahahaha lumumba hapo juu yanapumua utafikiri chura kabanwa mlangoni hahahaha hayajui hata nini cha kusema yamebaki kutukana pole sana mleta mada maana umewakurupua lumumba buku 7 sijui walikuwa wapi hahahahaha . Lizaboni yuko kijiweni lumumba.

BIDHAA+(1).jpeg


swissme
 
ma ccm yatakuja kusutana.

swissme
Wakati Lowasa anauziwa chadema na kugombea urais alikuwa na uzoefu na chadema kwa masaa mangapi ??

Ya chadema yamewashinda ,ya ccm mtayaweza wapi??.


Magufuli amekuwa mbunge na waziri kupitia ccm kwa miaka 20 !! Alafu wewe kibavicha kutoka ufipa unakuja kitumbo mbele kudai hana uzoefu na chama!!

Shame on you
 
Atapata uzoefu by induction! Hili limewezekana katika field nyingi sana Nchi hii.
 
Wakati Lowasa anauziwa chadema na kugombea urais alikuwa na uzoefu na chadema kwa masaa mangapi ??

Ya chadema yamewashinda ,ya ccm mtayaweza wapi??.


Magufuli amekuwa mbunge na waziri kupitia ccm kwa miaka 20 !! Alafu wewe kibavicha kutoka ufipa unakuja kitumbo mbele kudai hana uzoefu na chama!!

Shame on you
COYssW7UEAAV6Zu.jpg


mnaenda kumbebesha mzingo mzee wa watu.

swissme
 
hoja ya kuwa hana uzoefu ni hoja mfu ambayo ni propaganda ya hovyo kabisa tena mfu!! tafuteni nyingine!!
jamaa mtoa mada kauliza tu lakini mmeshindwa kumjibu mmebaki kutoa kashfa na matusi.


swissme
 
JK hakuwa Mwenyekiti Singida bali Katibu wa Chama.

Hata Magufuli PhD (Rais) uzoefu tele tu. Mbona Vijana wa juzi tu waliopambana Vyuoni wamekuwa wakuu wa taasisi na mamlaka za nchi!!!

Anatosha. Apewe tu ili awanyooshe na huko huko ndani kwao (nasikia wanaogopa ujio wake kama nini)!
 
JK hakuwa Mwenyekiti Singida bali Katibu wa Chama.

Hata Magufuli PhD (Rais) uzoefu tele tu. Mbona Vijana wa juzi tu waliopambana Vyuoni wamekuwa wakuu wa taasisi na mamlaka za nchi!!!

Anatosha. Apewe tu ili awanyooshe na huko huko ndani kwao (nasikia wanaogopa ujio wake kama nini)!
Ni kweli mkuu naona katika eneo hilo nimechanganya. Ila ni bora unaelewa historia yake ya uongozi CCM.
 
Wanabidi, nijuavyo Mimi Mh Kikwete anayemaliza muda wake alianza kua mwenyekiti wa cmm ngazi mbali mbali akiwa kijana Mdogo sana, Nakumbuka sana alipokua Mwenyekiti wa CCM mkoani wa Singida kama sehemu mojawapo aliyowahi kuishi kipindi hicho alikua ni kijana Mdogo sana. Kikwete anaifahamu CCM vizuri kuanzia matawi mpaka ngazi ya taifa. Ni mzoefu wa structure yote ya uongozi ndani ya CCM tena alikua ni kijana anayelelewa na Mwalim Nyerere enzi hizo.


Nauliza tu, vipi uzoefu wa wagombea wa uenyekiti wanaotegemewa moja kati yao kushika nafasi hiyo? Kutokua na uzoefu wa kukifahamu chama vizuri hakuna athari yeyote? Hatutakua na chama chenye uongozi wa mwendokasi kweli?

Nimeuliza hili kwa sababu ni rahisi sana kuongoza endapo mtu atakua anaijua administrative structure ya chama vizuri. Uenyekiti sio sawa na nafasi kama ya katibu mkuu ambaye yeye ni mtendaji tu lakini hawezi kua na power ya kuamua mambo flani makubwa yakihusuyo chama.
Kwani Mamvi alikua na uzoefu gani kwenye ile saccos yenu akaja saa4 asubuh saa7 mkamteua kugombea Urais.Ukinipa jibu nitakupa kuhusu Jpm
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom