Naomba kujua utofauti uliopo kati ya gari "manual" na "automatic" kifaida na kihasara. Na pia naomba kujua kiundani kidogo dondoo za RAV 4 manual

Nimefurahi kukuona huku ndugu..
Hiyo kitu ilikuwa kweli kabisa..hasa kwenye gari za zamani..
Ipo hivi.. Wakati huo Auto nyingi 4 speed.. Wakati manual zilikuwa 5 speed.. Kwahiyo kwenye gearing gari ya Auto itakuwa na Revs kubwa kidogo kuliko Manual.. Manual alikuwa na advantage..!
Lakini siku hizi Automatic nazo zina gears nyingi.. Kwahiyo nahisi matumizi ya mafuta ni sawa..!

Hii kitu umeiongelea kwenye uzi wako wa gearbox yenye gear nyingi..!
 
Nimefurahi kukuona huku ndugu..
Hiyo kitu ilikuwa kweli kabisa..hasa kwenye gari za zamani..
Ipo hivi.. Wakati huo Auto nyingi 4 speed.. Wakati manual zilikuwa 5 speed.. Kwahiyo kwenye gearing gari ya Auto itakuwa na Revs kubwa kidogo kuliko Manual.. Manual alikuwa na advantage..!
Lakini siku hizi Automatic nazo zina gears nyingi.. Kwahiyo nahisi matumizi ya mafuta ni sawa..!

Hii kitu umeiongelea kwenye uzi wako wa gearbox yenye gear nyingi..!
Anyway lakini ni rahisi gari manual kurev high wakati wa kubadili gear kuliko kwenye auto na hapo ndio mafuta yanaenda.
 
Anyway lakini ni rahisi gari manual kurev high wakati wa kubadili gear kuliko kwenye auto na hapo ndio mafuta yanaenda.
Ahhh yes.. Kawaida unatakiwa kuachia accelerator pad then uweke gia.. Revs zitashuka..

Ila ukidownshift kwenye speed kubwa ili kusikiliza engine then mafuta itabugia..!
 
Ahhh yes.. Kawaida unatakiwa kuachia accelerator pad then uweke gia.. Revs zitashuka..

Ila ukidownshift kwenye speed kubwa ili kusikiliza engine then mafuta itabugia..!
Yes ili uengage gear lazima uachie accelerator lakini before uachie accelerator lazima uwe uliikanyaga mpaka point fulani, ukiachia wakati engine inasinzia gari si inaweza kukuzimia.
 
Yes ili uengage gear lazima uachie accelerator lakini before uachie accelerator lazima uwe uliikanyaga mpaka point fulani, ukiachia wakati engine inasinzia gari si inaweza kukuzimia.
Sure sure hapo nimekusoma ulichomaanisha..!
Kwahiyo advantage yake ni kwenye highway.. Gear changing ni chache.. Kwenye foleni hapa na pale matumizi yanaweza kuwa sawa..!
 
Mie napendaga sana Manual.
Maana unasikiliza MLIO WAKE then unaingiza gia mwenyewe bila msaada wowote.🤣🤣😂 Kuna Raha sana unapoishikilia gia, kama zile zenye Virungu Vikubwa😁😁😁 Raha sana.
Hebu Fikiri Mlio wa SCANIA ikipanda KITONGA, UNAPANGUA GIA MPAKA RAHA.
MANUAL TAMU JAMANI.
Achana na yakuazima, kitu Miliki chako mwenyewe.
Iwe Asubuhi, Mchana, Jioni,,,,,,,, ni Unainjoy tu.
Mie sipendagi Usiku.
AUTO Haina radha🤪🤪🤪
 
Mie napendaga sana Manual.
Maana unasikiliza MLIO WAKE then unaingiza gia mwenyewe bila msaada wowote.🤣🤣😂 Kuna Raha sana unapoishikilia gia, kama zile zenye Virungu Vikubwa😁😁😁 Raha sana.
Hebu Fikiri Mlio wa SCANIA ikipanda KITONGA, UNAPANGUA GIA MPAKA RAHA.
MANUAL TAMU JAMANI.
Achana na yakuazima, kitu Miliki chako mwenyewe.
Iwe Asubuhi, Mchana, Jioni,,,,,,,, ni Unainjoy tu.
Mie sipendagi Usiku.
AUTO Haina radha🤪🤪🤪
Panda kaprikon zile za kuchonga yoyote isiwe fuso zile..hizi 113 zake,, eg DHP,DFE
Zakaria local made yoyote nk.
Kuna kandahari moja plate ni ATH
Mohamed classic ..arusha bukoba
Na mengineyo afu iwe inakwea mlima ishindwe gia sasa ile kudownshift huo mlio ndo balaa
 
Panda kaprikon zile za kuchonga yoyote isiwe fuso zile..hizi 113 zake,, eg DHP,DFE
Zakaria local made yoyote nk.
Kuna kandahari moja plate ni ATH
Mohamed classic ..arusha bukoba
Na mengineyo afu iwe inakwea mlima ishindwe gia sasa ile kudownshift huo mlio ndo balaa
😄😄😄😄 mara zote dereva huwa wakwanza kuruka.
Mkuu gari ikikushinda bora ufe kwa kuruka kuliko kufia kwenye steling alafu ukaitwa Shujaa.
 
Kutokana na hali ya mabadiliko ya kiteknolojia na uhitaji wa soko uzalishaji wa manual transmission umepungua sana na kuongezeka kwa uzalishaji wa automatic transmission lakini hiyo haiondoi moja kwa moja uzalishaji wa manual transmission kwa kuwa bado Kuna fans wengi wa manual.......

Makampuni ya kuzalisha magari ni makampuni yanayojiendesha kibiashara so ni lazima waende na mdundo wa soko as long as watumiaji wa manual wapo na yenyewe yatae ndelea kuzalishwa japo kwa kiwango kidogo......

Tukija kwenye swali la mtoa mada.....

Nadhani elimu ya magari Iko open sana nyakati hizi kutokana na teknolojia ya habari kukua.....namaanisha unaweza kupata taarifa ya jambo lolote kiganjani mwako kwa lugha yoyote kutoka kwa wataalamu wabobezi katika karibia nyanja yoyote Ile......

Hapa utapokea maoni ya watu kutokana uzoefu wake juu ya jambo hilo lakini huko kwenye platforms utapokea sio maoni Bali maelezo ya kitaalaamu na uhalisia.........

Watanzania wengi bado hatuna weledi wa kujibu maswali kulingana na yalivyo ulizwa.....kama unavyoona tayari umezuka mjadala wa wingi wa magari ya automatic na manual jambo ambalo ni kinyume na takwa la mtoa mada...... watanzania tunapenda sana mizozo kuliko majadiliano.....
 
Kutokana na hali ya mabadiliko ya kiteknolojia na uhitaji wa soko uzalishaji wa manual transmission umepungua sana na kuongezeka kwa uzalishaji wa automatic transmission lakini hiyo haiondoi moja kwa moja uzalishaji wa manual transmission kwa kuwa bado Kuna fans wengi wa manual.......

Makampuni ya kuzalisha magari ni makampuni yanayojiendesha kibiashara so ni lazima waende na mdundo wa soko as long as watumiaji wa manual wapo na yenyewe yatae ndelea kuzalishwa japo kwa kiwango kidogo......

Tukija kwenye swali la mtoa mada.....

Nadhani elimu ya magari Iko open sana nyakati hizi kutokana na teknolojia ya habari kukua.....namaanisha unaweza kupata taarifa ya jambo lolote kiganjani mwako kwa lugha yoyote kutoka kwa wataalamu wabobezi katika karibia nyanja yoyote Ile......

Hapa utapokea maoni ya watu kutokana uzoefu wake juu ya jambo hilo lakini huko kwenye platforms utapokea sio maoni Bali maelezo ya kitaalaamu na uhalisia.........

Watanzania wengi bado hatuna weledi wa kujibu maswali kulingana na yalivyo ulizwa.....kama unavyoona tayari umezuka mjadala wa wingi wa magari ya automatic na manual jambo ambalo ni kinyume na takwa la mtoa mada...... watanzania tunapenda sana mizozo kuliko majadiliano.....
Aisee katika mambo ya ovyo niliyokutana nayo wiki hii hii ni moja wapo..
Huwezi kututaja WaTanzania kuwa hatuna weledi.. Sema wewe na familia yako hamna weledi.. Tanzania Taifa kubwa kaa mbali na sisi..!

Blood of Jesus ameulizia utofauti wa Manual na Automatic.. Akaongezea kwenye Rav4..
Wadau wametoa tofauti mbali mbali.. Lazima kuna kitu amepata..!
Wewe hujasema faida au hata hasara moja.. Unalaumu tuu..!

Unasema kwenye platforms atapata maelezo ya kitaalamu..! Hii JamiiForums sio platform!!?
Huo ndio weledi unaozungumzia!!?

Yeye kaamua kupita ruti ya JamiiForums.. Na humu wataalamu wapo wengi tuu.. Hata kama kuna pumba ila bado hawezi kukosa madini..!

Jifunze kuwa na heshima na Wa🇹🇿...!
 
Umesoma
Kutokana na hali ya mabadiliko ya kiteknolojia na uhitaji wa soko uzalishaji wa manual transmission umepungua sana na kuongezeka kwa uzalishaji wa automatic transmission lakini hiyo haiondoi moja kwa moja uzalishaji wa manual transmission kwa kuwa bado Kuna fans wengi wa manual.......

Makampuni ya kuzalisha magari ni makampuni yanayojiendesha kibiashara so ni lazima waende na mdundo wa soko as long as watumiaji wa manual wapo na yenyewe yatae ndelea kuzalishwa japo kwa kiwango kidogo......

Tukija kwenye swali la mtoa mada.....

Nadhani elimu ya magari Iko open sana nyakati hizi kutokana na teknolojia ya habari kukua.....namaanisha unaweza kupata taarifa ya jambo lolote kiganjani mwako kwa lugha yoyote kutoka kwa wataalamu wabobezi katika karibia nyanja yoyote Ile......

Hapa utapokea maoni ya watu kutokana uzoefu wake juu ya jambo hilo lakini huko kwenye platforms utapokea sio maoni Bali maelezo ya kitaalaamu na uhalisia.........

Watanzania wengi bado hatuna weledi wa kujibu maswali kulingana na yalivyo ulizwa.....kama unavyoona tayari umezuka mjadala wa wingi wa magari ya automatic na manual jambo ambalo ni kinyume na takwa la mtoa mada...... watanzania tunapenda sana mizozo kuliko majadiliano.....
Ulichoandika kabla ya kupost
 
Aisee katika mambo ya ovyo niliyokutana nayo wiki hii hii ni moja wapo..
Huwezi kututaja WaTanzania kuwa hatuna weledi.. Sema wewe na familia yako hamna weledi.. Tanzania Taifa kubwa kaa mbali na sisi..!

Blood of Jesus ameulizia utofauti wa Manual na Automatic.. Akaongezea kwenye Rav4..
Wadau wametoa tofauti mbali mbali.. Lazima kuna kitu amepata..!
Wewe hujasema faida au hata hasara moja.. Unalaumu tuu..!

Unasema kwenye platforms atapata maelezo ya kitaalamu..! Hii JamiiForums sio platform!!?
Huo ndio weledi unaozungumzia!!?

Yeye kaamua kupita ruti ya JamiiForums.. Na humu wataalamu wapo wengi tuu.. Hata kama kuna pumba ila bado hawezi kukosa madini..!

Jifunze kuwa na heshima na Wa🇹🇿...!
Huyo kashapuliza ...
 
Sababu ni kuwa Ulaya wana vigezo vyao kwa kila bidhaa wanayoiagiza toka nje ya Ulaya, kwa hiyo siyo tu RAV 4 au magari hata TV, simu, chakula n.k.
Ni kweli kabisa, sijawahi kuona simu ya laini mbili huko.
 
Aisee katika mambo ya ovyo niliyokutana nayo wiki hii hii ni moja wapo..
Huwezi kututaja WaTanzania kuwa hatuna weledi.. Sema wewe na familia yako hamna weledi.. Tanzania Taifa kubwa kaa mbali na sisi..!

Blood of Jesus ameulizia utofauti wa Manual na Automatic.. Akaongezea kwenye Rav4..
Wadau wametoa tofauti mbali mbali.. Lazima kuna kitu amepata..!
Wewe hujasema faida au hata hasara moja.. Unalaumu tuu..!

Unasema kwenye platforms atapata maelezo ya kitaalamu..! Hii JamiiForums sio platform!!?
Huo ndio weledi unaozungumzia!!?

Yeye kaamua kupita ruti ya JamiiForums.. Na humu wataalamu wapo wengi tuu.. Hata kama kuna pumba ila bado hawezi kukosa madini..!

Jifunze kuwa na heshima na Wa🇹🇿...!
Inawezekana umenielewa vibaya ndugu na sikuwa na nia ya kumtusi mtu nimeongelea uhalisia wa wengi......

Mara nyingi hapa jukwaani zinapokuja mada zinazohusu mambo mbali mbali yanayohitaji majadiliano watu huamia kwenye malumbano na kupoteza kabisa uhalisia wa mada au jambo lenyewe.......kwa mujibu wa mtoa( niwie radhi kama nimeelewa vibaya) anataka kujua utofauti kati ya hiyo mifumo miwili.....
 
Inawezekana umenielewa vibaya ndugu na sikuwa na nia ya kumtusi mtu nimeongelea uhalisia wa wengi......

Mara nyingi hapa jukwaani zinapokuja mada zinazohusu mambo mbali mbali yanayohitaji majadiliano watu huamia kwenye malumbano na kupoteza kabisa uhalisia wa mada au jambo lenyewe.......kwa mujibu wa mtoa( niwie radhi kama nimeelewa vibaya) anataka kujua utofauti kati ya hiyo mifumo miwili.....
Sawa Sawa hapana maneno..!

Kulumbana kwa watu huwezi kuzuia..
Changia unachoweza kuchangia.. Mtoa mada akija atachambua na kuchukua kinachomfaa..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom