Naomba kujua umuhimu wa kuzingatia majukwaa wakati wa kutuma uzi JF

Mbagala Tz

Member
Mar 16, 2017
57
42
Wadau habari za jioni

Mimi ni mgeni humu JF ila sio mgeni sana. Lakini kila nikiingia JF nakuta kuna majukwaa, sasa najiuliza hayo majukwaa unajiungaje?

Maana mimi naonaga nikitaka kutuma uzi humu JF wananiletea nichague Jukwaa but huwaga nachagua Jukwaa lolote tu natuma sijaligi sana.

Leo kuna mtu katuma uzi kuhusu "USALAMA WA KUTOA PESA KWENYE HIVI VIBANDA VIDOGO NI MDOGO SANA" nikaona kuna mtu kamwambia amekosea Jukwaa.

Sasa wadau nataka kujua haya majukwaa ya huku JF yana umuhimu gani maana mimi huwa nasoma tu nyuzi in general sionagi kama inashida.

Asanteni.
 
Inawezekana kwa upande wako isiwe na shida, ila kwa upande wa wengine ikawa ni tatizo. Yaani uulize habari za kukosea kutuma Mpesa kule MMU halafu iwe ni jambo la kawaida tu!

Lazima uambiwe umekosea jukwaa! na hivyo Mods wataihamisha mada yako na kuipeleka husika! mfano jukwaa la biashara, habari mchanganyiko, nk.
 
HAKUNA UMUHIMU MKUU,WE JIANDIKIE TU UPOST KOKOTE. KUFUATA KANUNI WANAFELI MPAKA ASKARI AMBAO WAPO KWA AJILI YA KUSIMAMIA KANUNI NISIKUAMBIE MIMI NA WEWE.
 
Kuna Umuhimu Wa Kuzingatia Majukwaa Kwasababu
Mada Ikiwekwa Sehemu Sahihi Inapata Wajuzi Wanaoweza Kukusaidia Shida Yako Kwa Wepesi


Pia Inapowekwa Huko Unaweza Kupata Mada Zilizoulizwa Zinazoendana Na Yako
 
ni kosa kubwa sana, haina tofauti na badala ya kuchomeka kwenye K ukaweka kwenye tigo.
 
Back
Top Bottom