PENTAKINYE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 817
- 825
Habari wana jf mimi kuna kitu kidogo tu kina nitatiza hivi kulikuwa na ulazima gani wa kuipitisha juu treni ya kisasa inapokaribia kituo cha DSM JE NI KUKWEPA MUINGILIANO NA BARARABARA au kuna sababu nyingine?
nawatakia siku njema
nawatakia siku njema