Naomba kujua ukweli wa jambo hili

Mwimbe CL

Senior Member
Aug 22, 2013
147
96
Wadau habari zenu poleni na majukumu ya kulijenga Taifa ....bila kipoteza muda naomba kufahamu juu ya jambo hili nililolisikia mitaani . Hivi nikweli kwamba kwa manaume anapokuwa kwenye tendo la kujamiiana anapofika kileleni yani hatua ya kumaliza kutoa mbegu akizibwa mbele kwenye tundu la kutokea mbegu anakuwa hanisi yani hatasimamisha tena uume!? Yani jambo hilo la kuzibwa mbele wakati wa kumwaga linaweza kumsababishia uhanisi!? Naomba ushilikiano kwa wanaofahamu, naomba kuwakilisha
 
Wadau habari zenu poleni na majukumu ya kulijenga Taifa ....bila kipoteza muda naomba kufahamu juu ya jambo hili nililolisikia mitaani . Hivi nikweli kwamba kwa manaume anapokuwa kwenye tendo la kujamiiana anapofika kileleni yani hatua ya kumaliza kutoa mbegu akizibwa mbele kwenye tundu la kutokea mbegu anakuwa hanisi yani hatasimamisha tena uume!? Yani jambo hilo la kuzibwa mbele wakati wa kumwaga linaweza kumsababishia uhanisi!? Naomba ushilikiano kwa wanaofahamu, naomba kuwakilisha
hakuna madhara yoyote mkuu, maana moja ya tiba kwa mtu anayewahi kufika kileleni ni kuubana uume wake kwa kuugandamiza kwa mkono ili asipizi mapema, na hiyo pia ni mbinu itakayokusaidia upige bao tamu zaidi.
 
Duh! Huyo aliyekudanganya Nadhani Amekuroga...
Mkuu Hamna Madhara Ya "Ukhanithi" Kama Ulivyoaminishwa! Bali ni Tiba Nzuri Sana Hiyo Kwa Wale Wenye Tatizo la "Premature Ejaculation (Kuwahi Kufika Kileleni)"...
 
nani anaeziba sasa..??..labda kule ndani ya papuchi akae mtu wa kuziba na hicho kizibio....!!!...
ila ngoja watakujibu....
 
Back
Top Bottom