Habari humu!
Wadau naomba mwenye kujuwa ukweli juu ya usalama Wa kuhifadhi Pesa kwenye Simu-pesa za mitandao! Kuna tetesi nimezisikia kwamba si salama kuweka Pesa nyingi eti kwakuwa kuna watu Wa mitandao huwa wanazichungulia na pengine kufanikiwa kuziiba! Pia naomba kujuwa kiwango cha mwisho cha kuhifadhi Pesa katika kila mtandao uliopo Tanzania. Karibuni wadau
Wadau naomba mwenye kujuwa ukweli juu ya usalama Wa kuhifadhi Pesa kwenye Simu-pesa za mitandao! Kuna tetesi nimezisikia kwamba si salama kuweka Pesa nyingi eti kwakuwa kuna watu Wa mitandao huwa wanazichungulia na pengine kufanikiwa kuziiba! Pia naomba kujuwa kiwango cha mwisho cha kuhifadhi Pesa katika kila mtandao uliopo Tanzania. Karibuni wadau