Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Kweli kabisaFanya sarakasi zoote ila usithubutu hata kwa mtutu wa bunduki kununua brand yoyote inayoitwa infinix,hiyo ni baba mmoja mama mmoja na tecno.
Kweli kabisaFanya sarakasi zoote ila usithubutu hata kwa mtutu wa bunduki kununua brand yoyote inayoitwa infinix,hiyo ni baba mmoja mama mmoja na tecno.
Mkuu kwa hii brand,hutokaa ujutie hela yako zaidi kila siku unavyoitumia utaona kama uliokota hiyo simu.Yaan hii mada mnazungumziaa leo ndo nmetoka kununua hii simu karkoo kwa laki 4..nmeingia jamii forum nakuta mnadiscss ....nlkuwa najiaangaikia kutafuta l tecno na infnix mara paaah jamaa nkakuta ana hizi simu nlkuwa ata zsjui akanishawshi nkanunua View attachment 965153
Nlkuwana s6 edg kla dakk inayoenda battery nayo inaisha charge ...kwa kwel kama hii simu itakuwa haya mnayoyasema ta enjy sana ...ngoja atleast mwez uishe ndo tajua ukwelMkuu kwa hii brand,hutokaa ujutie hela yako zaidi kila siku unavyoitumia utaona kama uliokota hiyo simu.
Ninayo Note 5 ni bonge ya simu man,iko vizuri kuanzia ukaaji wa charge,speed hata muonekano wake tu unakupa heshima.
Utarudi hapa kutuambia mkuu.Nlkuwana s6 edg kla dakk inayoenda battery nayo inaisha charge ...kwa kwel kama hii simu itakuwa haya mnayoyasema ta enjy sana ...ngoja atleast mwez uishe ndo tajua ukwelView attachment 965236
Ulinunnua wapiYaan hii mada mnazungumziaa leo ndo nmetoka kununua hii simu karkoo kwa laki 4..nmeingia jamii forum nakuta mnadiscss ....nlkuwa najiaangaikia kutafuta l tecno na infnix mara paaah jamaa nkakuta ana hizi simu nlkuwa ata zsjui akanishawshi nkanunua View attachment 965153
Mpaka mkononi sh ngapi hii?
Hii sh ngapi ndugu mpaka mkononi?Mkuu, unaizungumziaje Redmi 6, ni kweli simu zote zenye MTK Soc ni mbaya?View attachment 961814
Yenye 3gb ram& 64gb rom kwa rates za leo ni TZS 298,245.08Hii sh ngapi ndugu mpaka mkononi?
Mara ya mwisho naagiza yenye 3gb ram & 32gb rom, ilikuwa TZS 406,726.46Mpaka mkononi sh ngapi hii?
Kariakoo pande gani mkuu??..Yaan hii mada mnazungumziaa leo ndo nmetoka kununua hii simu karkoo kwa laki 4..nmeingia jamii forum nakuta mnadiscss ....nlkuwa najiaangaikia kutafuta l tecno na infnix mara paaah jamaa nkakuta ana hizi simu nlkuwa ata zsjui akanishawshi nkanunua View attachment 965153
Mkuu, maelezo yote hayo usichoelewa ni kipi tena?Kwa maana hiyo Xiaomi ni bora kuliko Huawei, Oppo na Infinix??
Mtaa wa kongo shimoni kuna duka linaitwa kwa kashasha ndo anaingiza hii mizgo nlkuta anazoKariakoo pande gani mkuu??..
Xiaom ni simu nzuri sana hutatamani kuiachaMtaa wa kongo shimoni kuna duka linaitwa kwa kashasha ndo anaingiza hii mizgo nlkuta anazo
Sema kampuni haitambuliki mbona
Oppo A3s hii simu ni kiboko View attachment 969197
580kHuu mzigo unaendaje?
580k
kenya zipoMpaka uagize nje ya nchi?
pia fika mwanza lumumbaMpaka uagize nje ya nchi?