Naomba kujua ubora wa Oppo na Xiaomi mi red 4.

Nilinunua hiyo mwezi November kabla wasamaria wema hawajaniibia pale nilipopata ajali ya gari
20181208_162411.jpeg
 
Mkuu unaweza kunisaidia definition ya Mshamba?maana Nimeshaona Watu wenye majumba mjini na Uwekezaji mzuri wanatumia Nokia za tochi na tecno,na nimeona wanaoishi kwa Shemeg zao wana cm Kali apple et al,.
Mshamba ni mtu wa namna gani?

😀😀😀
 
Kuna option ya kuagiza India, zinapatikana kwa bei nzuri na uhakika wa kupata OG ni 100%. Tumia Amazon.in au Flipkart. Natarajia kuagiza mwishoni mwa mwezi huu as kuna jamaa ataenda likizo then akirudi mzigo unanifikia
Maduka ya Moshi mjini pale stand ya mabasi ndio kama kariakoo yao, zipo za kutosha hela yako tu! Arusha vivo hivyo, maduka ya Around stand unaeza pata
 
Yap, India ni 100% OG
Kuna option ya kuagiza India, zinapatikana kwa bei nzuri na uhakika wa kupata OG ni 100%. Tumia Amazon.in au Flipkart. Natarajia kuagiza mwishoni mwa mwezi huu as kuna jamaa ataenda likizo then akirudi mzigo unanifikia
 
Karibu sana oppo hakika huwezi juta waweza sema uko na IPHONE mkononi maana ni simu tamu sana kwa matumizi yake ..there is no loading
Screenshot_2018-12-09-11-04-40-29.jpeg
Screenshot_2018-12-09-11-04-27-17.jpeg
Screenshot_2018-12-09-11-04-07-62.jpeg
Screenshot_2018-12-09-11-04-01-44.jpeg
 
Best selling brands in mobile phone
1. SAMSUNG
2. APPLE
3. HUAWEI
4. OPPO

nashangaa mnao dharau oppo na huawei!!! Sema tecno wereva haimo hata 15 bora!!!
 
Best selling brands in mobile phone
1. SAMSUNG
2. APPLE
3. HUAWEI
4. OPPO

nashangaa mnao dharau oppo na huawei!!! Sema tecno wereva haimo hata 15 bora!!!
Tayari Huawei ameshampita Apple na Xiaomi ni wa 4 na soon nae Atakuwa wa 3.

Ila uuzaji wa simu sometime hau reflect sana ubora kampuni kama Huawei ukitoa flagship zao simu zao za midrange na low end anaachwa mbali na xiaomi ila sababu ya budget ya matangazo ndio maana anauza sana simu.

Huawei anaspend sana kwenye matangazo na kuhonga kampuni za uuzaji na waandishi wa habari ili simu ziuzike sana (tetesi serikali ya china ipo nyuma yao),

Same kwa Samsung nayo ni kama Huawei wanaspend hela nyingi kwenye matangazo ndio maana moja kati ya simu mbaya kutolewa na samsung yenye storage ya 8gb na mediatek soc ikaongoza mauzo kwa simu zote za Android, sio kwamba hii grand prime plus ni bora hapana, ila sababu tu kila unapoenda kulikuwa na Tangazo lake, Hadi maeneo yetu ya Kkoo mabango kibao ilikuwepo, na kina sie tukiona bango na picha nzuri mbio mbio tunaenda kununua.

Oppo anatengeneza simu nzuri ila kwa bei still hamfikii xiaomi, huyu xiaomi hapati faida kabisa anauza vitu kwa gharama aliotengenezea. Halafu pia Xiaomi ni muwazi sana kila kitu chake anapenda kukiweka hadharani ndio maana nae japo hana hela kama hao ma giant ila anapendwa sana hasa na ulimwengu wa watu ambao ni wataalam wa tech.
 
Tayari Huawei ameshampita Apple na Xiaomi ni wa 4 na soon nae Atakuwa wa 3.

Ila uuzaji wa simu sometime hau reflect sana ubora kampuni kama Huawei ukitoa flagship zao simu zao za midrange na low end anaachwa mbali na xiaomi ila sababu ya budget ya matangazo ndio maana anauza sana simu.

Huawei anaspend sana kwenye matangazo na kuhonga kampuni za uuzaji na waandishi wa habari ili simu ziuzike sana (tetesi serikali ya china ipo nyuma yao),

Same kwa Samsung nayo ni kama Huawei wanaspend hela nyingi kwenye matangazo ndio maana moja kati ya simu mbaya kutolewa na samsung yenye storage ya 8gb na mediatek soc ikaongoza mauzo kwa simu zote za Android, sio kwamba hii grand prime plus ni bora hapana, ila sababu tu kila unapoenda kulikuwa na Tangazo lake, Hadi maeneo yetu ya Kkoo mabango kibao ilikuwepo, na kina sie tukiona bango na picha nzuri mbio mbio tunaenda kununua.

Oppo anatengeneza simu nzuri ila kwa bei still hamfikii xiaomi, huyu xiaomi hapati faida kabisa anauza vitu kwa gharama aliotengenezea. Halafu pia Xiaomi ni muwazi sana kila kitu chake anapenda kukiweka hadharani ndio maana nae japo hana hela kama hao ma giant ila anapendwa sana hasa na ulimwengu wa watu ambao ni wataalam wa tech.
Kwa maana hiyo Xiaomi ni bora kuliko Huawei, Oppo na Infinix??
 
Kuhusu Samsung nimekuelewa jana nimenunua j7Max imenisumbua kinoma kuingiza line, nafika home network ipo bar moja haipandi, am very disappointed kesho nairudisha ni heri ya mchina wangu Tecno w5 haijawahi niangusha
Hii simu afadhali ya tecno au itel.

Maana ukianza kuifuatilia ina mfumo kama wa itel.

Maana imeandikwa 32gb internal lakini ukiweka cpu-z inasoma 1.6gb
 
Back
Top Bottom