Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naomba kupata ufafanuzi/maana na tofauti ya maneno haya ya Kiswahili:-
1. Kipaji
2. Kipawa
3. Karama
Natanguliza shukrani.
1. Kipaji
2. Kipawa
3. Karama
Natanguliza shukrani.