GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,418
- 108,518
Kuna Mtu Mmoja kwa mbali anataka Kutuchezea Akili Watanzania akidhani ni 'hamnazo' wakati wenye Akili tumeshamshtukia kuwa ni Mdau wa Utamaduni wa Mwafrika ambao kwa uelewa wangu kwa 85% unahusisha mno Uchawi (Ushirikina) hivyo basi anataka Kulilazimisha hili Ubongoni mwetu ili awe Huru nalo na safari ya 2021 hadi 2025 na ile ya 2025 hadi 2030 iwe njema na kusiwe na matatizo (makwamo) yoyote.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.