MLALE
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 211
- 410
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,naomba mdau yeyote anayejua sehemu ninayoweza kupata amira (yeast) ya kutengenezea wine anisaidie.
Au mwenye kujua ingredients inayoweza kuwa ni mbadala wa yeast anisaidie tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mwenye kujua ingredients inayoweza kuwa ni mbadala wa yeast anisaidie tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app