Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,425
- 12,601
Maendeleo ya viwanda... made by Ccm😂Kikifuatiwa na kiwanda cha kuchakata chupi za makada View attachment 1591878View attachment 1591879
Maendeleo ya viwanda... made by Ccm😂Kikifuatiwa na kiwanda cha kuchakata chupi za makada View attachment 1591878View attachment 1591879
Cha kwanza Ni kiwanda cha uongo Cha Chadema kilichoko singida kinachojulikana kama Tundu Lisu Lying Industry Ltd
Ukivitaja vitano na location zake,kuna laki 3 yakoNadhani kama mia mbili hivi
For five years hamna kiwanda kipya cha alizeti, ndio maana kwa mwaka huu toka Mwaka 2003 gunia la alizeti limeuzwa 33000Kiwanda siyo lazima kiwe kikubwa kama unavyowaza. Hata cha alizeti pia
Hydom haipo Singida halafuvipo.kibao kuanzia hapa Unyankhaa,ikhanoda.Ulyamipiti,Ilongero,Kisasida,Puma,Hydom,Kitinku,Singidani,Unyankindi kote kule kwa shulu singida mills yaan mpka kule kunajengwa Hospital ya Rufaa mkoa
Habari ya diu mkiku...Hospitali ya Rufaa inazalusha bidhaa gani, tangu enzi za RC Kone bado inajengwa tu!vipo.kibao kuanzia hapa Unyankhaa,ikhanoda.Ulyamipiti,Ilongero,Kisasida,Puma,Hydom,Kitinku,Singidani,Unyankindi kote kule kwa shulu singida mills yaan mpka kule kunajengwa Hospital ya Rufaa mkoa
Kati ya Buku 7 Wote ,wewe unakipaji Cha kupost Upumbavu! ...sijui walitumia kigezo gani kumuajiri!Cha kwanza Ni kiwanda cha uongo Cha Chadema kilichoko singida kinachojulikana kama Tundu Lisu Lying Industry Ltd
Viko Wapi vilivyoanzishwa Mkoani Singida,ktk kipindi Cha 2015-20!?Kiwanda siyo lazima kiwe kikubwa kama unavyowaza. Hata cha alizeti pia
Ndiyo nimesema kiwanda siyo lazima kiwe kikubwa. We huvioni kwasababu umekariri kuona vikubwa.Viko Wapi vilivyoanzishwa Mkoani Singida,ktk kipindi Cha 2015-20!?
Hamna cherehani huko ?Uchumi wa Viwanda ilikuwa ni Sera Kuu ya kiuchumi iliyojinasibu JPM Mwaka 2015!
Tumesoma katika mafanikio ya Awamu ya Tano kuwa vimejengwa Viwanda vingi Sana katika Awamu hii.
Kongole kwa CCM!
Binafsi napenda kujua kwa upande wa Mkoa wa Singida hivi Viwanda vimejengwa Vingapi na wapi!?
Ni vema pia tukajua ni Viwanda vya aina gani?
Mimi mamangu anazo 3 ...kwani vipiHamna cherehani huko ?
MKUU HILI LIWEKEE THREAD POINT ZAKO NI NONDO SANA.PAZA SAUTIMJADALA UNGELITAKIWA UWE KUMUONGEZEA MUDA JPM NA SIO KUOMBANA KURA.
Na Thadei Ole Mushi.
Kuna siku niliwaambia wenzetu huko nje wakiona wamepata kiongozi mwenye maono huwa hawamwachii kwa haraka.
Niliwahi kuwaambia kuwa Urusi wao kwa kutambua Mchango wa Putin waliamu kubadilisha katiba yao badala ya Putin kustaafu 2024 walimuongezea muda mpaka 2036. Bunge la Urusi lilipitisha kipengele hicho Cha kumuongezea muda Putin kwa kishindo. Warusi wanaona kuwa ili maono ya Taifa lao yakamilike lazima pale juu awepo mtu mbishi Kama Putin na asiyeyumbishwa na mataifa Mengine.
China wao mwaka 1990 kwenye katiba yao walipitisha kuwa kila Rais atastaafu baada ya miaka 10 akiwa madarakani. Lakini mwaka juzi waliamua kubadilisha kipengele hicho kwa kuhofia kumpoteza Xi Jinping wameamua kugusa Katiba yao na Sasa atakaa madarakani Hadi Kifo kitakapomchukua. Jinping alikuwa astaafu 2023 kwa mujibu wa katiba kabla hawajaigusa.
Nimekuwa nikiwaleta maajabu ya Serikali ya awamu ya Tano kila Mara leo tuguse kipengele Cha Elimu kwa miaka mitano Nini kimefanyika.
1. Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani iliamua kufuta kabisa ada kwa wanafunzi wote wa kuanzia awali Hadi kidato Cha nne. Mpaka kufikia February 2020 Serikali ilikuwa imeshatoa shilingi trilioni 1.01 kugharamia Elimu bure. Ni nchi pekee kwenye ukanda wetu huu iliyoweza kutoa Elimu bure.
2. Serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kuongeza shule za primary toka 16,899 zilizokutwa 2015 Hadi kufikia 17,804.
3. Kwa upande wa Shule za Sekondari zimeongezwa Kutoka 4,708 Hadi 5,330.
4. Serikali imefanya Ukarabati wa shule kongwe 73 Kati ya 89. Ukarabati huu kila pembe ya nchi mnauona unavyitafuna mabilioni ya shilingi.
5. Serikali ya awamu ya tano imefanya Ujenzi wa mabweni 253 ya shule za Serikali.
6. Serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kufanya Ujenzi wa Maabara 227 katika shule mbalimbali nchini
7. Serikali ya awamu ya tano imetoa vifaa vya Maabara zipatazo 2,956.
7. Madawati JPM aliyokuta yalikuwa 3,024,311. Ameyaongeza Hadi kufikia 8,095,207 sawa na asilimia 200 ya ongezeko.
8. Vyuo vya ualimu 18 vimejarabaitiwa. Vyuo hivi vilielekea kuwa magofu. Hii Ni kazi ya Serikali ya awamu ya tano.
9. Vyuo viwili vimejengwa upya Murutunguru na Kabanga. Kazi hii imefanyika ndani ya miaka mitano.
10.Zimegawanywa computer 1,550 kwenye vyuo 35 vya ualimu nchini.
11. Vyuo vya ufundi VETA vimeongezwa toka 672 mwaka 2015 Hadi 712 mwaka 2020
12.Bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu imeongeza toka Bilioni 348 kwa mwaka Hadi Bilioni 450.
Sisi tunaoelewa Nini kimefanyika usituulize kwa nn tunataka JPM aongezewe Muda.
Usituulize kwa nn tunataka JPM achaguliwe Tena.
Narudia Yale mazuri ya Upinzani yatachujuliwa na ikiwezekana wale wenye uwezo mkubwa kichwani wanaweza kuchukuliwa wakalijenge Taifa lao.
Duniani hakuna nchi ambayo imewahi kumaliza Changamoto zake zote. Lakini mnapopata mtu wa kupambana nazo Kama JPM sio wa kumwachia haraka.
Ole Mushi
0712702602.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
waverya ijja. inazalisha afya bora na kwa sasa tuna vyuo na hotel kubwa ya kisasa regencyHabari ya diu mkiku...Hospitali ya Rufaa inazalusha bidhaa gani, tangu enzi za RC Kone bado inajengwa tu!
😃😃Kama serikali ya CCM imeshindwa kuweka matundu ya choo katika shule za msingi na sekondari, hivyo viwanda vinatokea wapi? Au vya ndotoni?