Hilo ni jibu sanaGoogle Mzee, Kuna vitu si vya Kupoteza Muda huku!
vingine watu wanasumbua tu jukwaa!Hilo ni jibu sana
Nashukuru mwambaNauli ya ndege inatofautiana kulingana na yafuatayo
1. Aina ya ndege ulotumia
2.msimu uliosafiri
3. Range ya muda uliobook na tarehe ya kusafiri, yaan ukikata mapema zaid ndipo nauli inakuwa ndogo,
Ila tembelea kwenye application ya flights, uko playstore approximately ni 800 USD return ticket
PamojaNashukuru mwamba
Lakin pia kuna bus inatoka ubungo hadi uholanziNdugu zangu naombeni kuuliza kama kuna mtu anafahamu nauli ya ndege kati ya Tanzania na uholanzi ni shillingi ngapi,yani namanisha kwenda tu sio nakurudi.Nimepewa assigment hiyo sasa cna wa kumuuliza imebidi nilete humu mnisaidie.