Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Nielekeze vizuri hapo kwenye kutumia download manager.
How To Download Telegram Files With A Download Manager — Steemit
Nielekeze vizuri hapo kwenye kutumia download manager.
Kwa case hiyo ilitakiwa utumie vidmateKuna series naichukua telegram. Sasa naomba kujua namna ya kuendelea kupakua huku Mimi nikifanya mambo mengine kwa simu.Maana nikitoka tu telegram ina stop ku download.
Natumia Nokia 3
Chief mimi nina spotify premium nilikuwa nakatwa kila mwezi pesa, miezi miwili nyuma nili stop kuna mambo yaliingiliana, sasa najitahidi kurejesha nashindwa card yng ina fail ku process malipo huku ilikuwa inakubali tu before, shida inaweza kuwa nini?ESPRESSO COFFEE,
kwa android tumia app inaitwa ymusic, hii ni app ya youtube ambayo ina features nyingi za kusikiliza sauti, inauwezo wa kuplay background ama hata kusikiliza mziki na kusoma lyrics bila kuangalia video. pia unaweza ukaitumia kama player ya youtube na hata kudownload videos na miziki. link yake utaipata hapa
YMusic download and listen YouTube video in background - Android
kwa ios alternative yake ni musi ambayo pia ni music player inayo fetch youtube, sijawahi itest kwa hii platform unaweza kuiangalia kama inaplay background
Musi - Simple Music Streaming
pia mkuu unaweza angalia spotify, youtube, amazon music na platform nyengine za kulipia kipindi hichi cha covid zinapatikana bei za kutupa.
Toa darasa basi chiefInabidi hapo udownloadie kwa kutumia download manager kuna maujanja unafanya unakuwa unapata link ya kitu unachotaka kudownload kutoka Telegram kwenda kudownloadia kwenye download manager.
Ikikaataa inakupa error gani? Card ina hela ya kutosha? Umejaribu njia nyengine ya kulipia kama kutumia paypal?Chief mimi ni spotify premium nilikuwa nakatwa kila mwezi pesa, miezi miwili nyuma nili stop kuna mambo yaliingiliana, sasa najitahidi kurejesha nashindwa card yng ina fail ku process malipo huku ilikuwa inakubali tu before, shida inaweza kuwa nini?
Ina pesa kaka.. inaleta kitu hiki nikienda kwa paypal..Ikikaataa inakupa error gani? Card ina hela ya kutosha? Umejaribu njia nyengine ya kulipia kama kutumia paypal?
Na kwengine hio paypal inakubali? Umecheki Haija expire?Ina pesa kaka.. inaleta kitu hiki nikienda kwa paypal..View attachment 1979675
Kwengine sijajaribu.. haija expire badoNa kwengine hio paypal inakubali? Umecheki Haija expire?