Naomba kujua Namna ya kuondoa kutu kwenye tenki la pikipiki

bigmukolo

JF-Expert Member
Mar 6, 2012
597
2,225
Msaada kuhusu Kutoa kutu kwenye tenki la pikipiki je nitumie njia gani au Kuna dawa spesho .. . Msaada wandugu
 
Msaada kuhusu Kutoa kutu kwenye tenki la pikipiki je nitumie njia gani au Kuna dawa spesho .. . Msaada wandugu
Tank la pikipiki gani?
Hapo inabidi ulitoe Kisha ufungue koki Kisha usafishe tank na sabuni na maji.
Njia ya muda mfupi ni kupiga rangi na kuhakikisha limekauka vizuri ndio uendelee kutumia ukiwahi kutumia ni kuwa rangi itakuwa unatoka na kupiga katika fuel filter na kama usipobadili filter chembechembe ndogo zikifika katika carburetor zita sababisha jet kuziba na kuleta miss.

Njia ya kudumu ni kulipaka zinc alloy tank kwa ndani au ubadili utumie tank za aluminum au plastics.
 
Tank la pikipiki gani?
Hapo inabidi ulitoe Kisha ufungue koki Kisha usafishe tank na sabuni na maji.
Njia ya muda mfupi ni kupiga rangi na kuhakikisha limekauka vizuri ndio uendelee kutumia ukiwahi kutumia ni kuwa rangi itakuwa unatoka na kupiga katika fuel filter na kama usipobadili filter chembechembe ndogo zikifika katika carburetor zita sababisha jet kuziba na kuleta miss.

Njia ya kudumu ni kulipaka zinc alloy tank kwa ndani au ubadili utumie tank za aluminum au plastics.
OK nashukuru
 
OK nashukuru
Nji rahisi sana tumia soda aina ya cocacola ukiweza pata ile ya 1lt mimina humo kwenye tank tikisakwa kulizungusha tank taratibu kma dk 2 hiv halafu tikisa kwanguvu kama dk1 halafu acha iache ikae hata dk 10 then tikisa tena kama dk 1 halafu mwaga utaona maajabu

Baada ya hapo waweza weka tena kiasi tikisa halafu waweza suuza na maji safi mwaga maji acha likauke baada ya hapo endelea na matumizi.
 
Nji rahisi sana tumia soda aina ya cocacola ukiweza pata ile ya 1lt mimina humo kwenye tank tikisakwa kulizungusha tank taratibu kma dk 2 hiv halafu tikisa kwanguvu kama dk1 halafu acha iache ikae hata dk 10 then tikisa tena kama dk 1 halafu mwaga utaona maajabu

Baada ya hapo waweza weka tena kiasi tikisa halafu waweza suuza na maji safi mwaga maji acha likauke baada ya hapo endelea na matumizi.
Mkuu hii ni njia ni nzuri ila ni ya muda mfupi, itamlazimu awe anafanya hivi Mara kwa Mara. Pia kama hatakausha kwa jua maji yote hawezi kumaliza kutakuwa na unyevu unyevu unao baki.
 
Tank za petrol za pikipiki za ndogo sehemu ya kutolewa hewa ya ndani ni ndogo ambayo ni kwenye ufunguo na wengi wanapaziba.

Mfumo mzuri ambao hauweki unyevu wa petrol kwenye tank na kuleta kutu ni Kama tank za Honda XL zinakuwa na pipe ya breeze kutoa hewa na kutoruhusu unyevu ambao usababisha kutu.
 
Tank la pikipiki gani?
Hapo inabidi ulitoe Kisha ufungue koki Kisha usafishe tank na sabuni na maji.
Njia ya muda mfupi ni kupiga rangi na kuhakikisha limekauka vizuri ndio uendelee kutumia ukiwahi kutumia ni kuwa rangi itakuwa unatoka na kupiga katika fuel filter na kama usipobadili filter chembechembe ndogo zikifika katika carburetor zita sababisha jet kuziba na kuleta miss.

Njia ya kudumu ni kulipaka zinc alloy tank kwa ndani au ubadili utumie tank za aluminum au plastics.
Habari mkuu?
 
Tank la pikipiki gani?
Hapo inabidi ulitoe Kisha ufungue koki Kisha usafishe tank na sabuni na maji.
Njia ya muda mfupi ni kupiga rangi na kuhakikisha limekauka vizuri ndio uendelee kutumia ukiwahi kutumia ni kuwa rangi itakuwa unatoka na kupiga katika fuel filter na kama usipobadili filter chembechembe ndogo zikifika katika carburetor zita sababisha jet kuziba na kuleta miss.

Njia ya kudumu ni kulipaka zinc alloy tank kwa ndani au ubadili utumie tank za aluminum au plastics.
Mkuu freezer yangu inaliwa na kutu, tiba yake ni Nini?
 
Habari mkuu?
Salama Mkuu, Hiyo freezer yako Inabidi ukwangue sehemu Zenye kutu Kisha upige rangi za antifouling paint hizi zinatumika kwenye boti au utafute rangi Zenye material Yenye kiasi kikubwa Cha kupapambana na kutu upige walau coat 2 au 3.
 
Back
Top Bottom