Sawa mkuu nisaidie please ...Kwakweli mifugo mingi inaingizwa kwa njia ya ndege ningekushauri uende wizara ya mifugo na uvuvi watakupa maelezo yote, ila nafahamu watu wanaoagiza mbwa kutoka nnje kuingiza nnchini labda nikupatie mawasiliano yao wataweza kukupa mwanga mzuri zaidi.
0713 544411 Naomba tuwasiliane steven nguma.Sawa mkuu nisaidie please ...
Sasa mkuu si umwage information hapa nawengine tufahamu,ndio lengo LA Jukwaa0713 544411 Naomba tuwasiliane steven nguma.
Kaka nisamehe siwezi kuweka number ya simu yamtu hapa jukwaani bila ruhusa yake ndio maana nkamwambia anaitafute, kuna watu niko nao kwenye jukwaa la ufugaji wa Mbwa huwa wanaagiza sana Mbwa toka nnje nndio namuunganisha nao wamsaidie.Sasa mkuu si umwage information hapa nawengine tufahamu,ndio lengo LA Jukwaa
Nikweli kabisa lakini kuna mambo mengine madogo madogo yanapashwa kuyafwata wakati wa uagizaji ndio maana nikasema nitamsaidia kwa hilo kujuana na wazoefu wanao agiza wanayama hai kila mara kuingiza nchini.Kilimo, mifugo na uvuvi ndio kuna Wataalamu washauri.