Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
Wakuu habari zenu,
Poleni na majukumu ya kutwa nzima ya leo.
Naomba kujua namna ya kufika comoro kwa njia ya maji. Na je kuna vyombo vya moja kwa moja toka Dar au Zanzibar mpaka huko?
Kuna fursa gani za kiuchumi huko? Kuna watu wameniambia ukipeleka zile culture wanazovaa vijana kule soko ni zuri. Naomba kujua fursa nyingine nk.
Shukrani
Poleni na majukumu ya kutwa nzima ya leo.
Naomba kujua namna ya kufika comoro kwa njia ya maji. Na je kuna vyombo vya moja kwa moja toka Dar au Zanzibar mpaka huko?
Kuna fursa gani za kiuchumi huko? Kuna watu wameniambia ukipeleka zile culture wanazovaa vijana kule soko ni zuri. Naomba kujua fursa nyingine nk.
Shukrani