Ayubu Aggrey
Member
- Jun 1, 2017
- 5
- 2
Naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii.
kwa halmashauri ni Basic ni 530,000/=. take home ni 455,000/= baada ya makato.naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii
Jiajiri. Unauliza then what?Naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii.
Duh.sio poakwa halmashauri ni Basic ni 530,000/=. take home ni 455,000/= baada ya makato.
Kasome charii kikubwa ina fursa nyingi sana si tu serikalini hata kwenye NGO's. Ila kwa sasa kwenye taasisi zisizo za kiserikali ajira nyingi ni degree ukipata nafasi ya kuendelea usiache kuendelea coz mishahara ya kwenye project huwa hata mshahara unaweza ukausahau kuna per diem, semina za kutosha.msaada nataka nikasome iyo dp ya social work
asante mimi nimeajiriwa serikalini mwaka jana nilisoma community health sasa nia nijiendeleze na hii mkuuKasome charii kikubwa ina fursa nyingi sana si tu serikalini hata kwenye NGO's. Ila kwa sasa kwenye taasisi zisizo za kiserikali ajira nyingi ni degree ukipata nafasi ya kuendelea usiache kuendelea coz mishahara ya kwenye project huwa hata mshahara unaweza ukausahau kuna per diem, semina za kutosha.
Naomba tutafutane kama hutojali asee...asante mimi nimeajiriwa serikalini mwaka jana nilisoma community health sasa nia nijiendeleze na hii mkuu
no yakoNaomba tutafutane kama hutojali asee...
Binafsi sifahamu mshahara wake asee...Naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii.
Jobless unamkatisha moyo jobless mwenzio ila wenzio kesho watakuwa. Morogoro wakimenywa kwenye usaili wa watendajiLaki mbili , unataka ulipwe shilingi ngapi na kidiploma uchwara chako cha kichochoroni hicho ?
Usaili ushaanza??Jobless unamkatisha moyo jobless mwenzio ila wenzio kesho watakuwa. Morogoro wakimenywa kwenye usaili wa watendaji