Itategemea na Chuo. Maana kila Chuo kina salary scale yake. Haya sema Chuo gani usiogope.Wakuu habari za leo? Naomba kujua mshahara wa watu wafuatao atika vyuo vikuu:
1. Admission officer
2. Examination officer
Asanteni sana.
Ninavyojua MUST wanatumia PHTS hapo ukienda umetoka. Kwa degree 1 ni kuanzia 1.4 hivi take home. Kwa maisha ya Mbeya unatoka.Tengeru Institute of Community development (Registration officer)
Na MUST examination officer
Nenda MUST.Tengeru Institute of Community development (Registration officer)
Na MUST examination officer