Mood swing..Maelezo yako yanaenda mbele na kurudi nyuma.
Ww ni mpole mara hapohapo ni mkorofi. Hapohapo una huruma huku unapenda ugomvi. Hapo hapo hupendi kuongea mara huwa unaongea.
Labda tu niseme ww ni kichaa.
BipolarNaomba kwa wataalamu humu mniambie Mimi ni mtu wa Aina gani kwa izi sifa zangu;
- Mimi ni mkorofi (tokea utotoni napenda Sana ugomvi na sehemu zenye ugomvi na shari)
- Mimi ni mkimya (yaani sipendi kuongea na pia sipendi mtu aniongeleshe kwa muda mrefu nachukia sana yaani natak nikiwa na wewe ukae kimya usiniulze maswali mengi)
- Ninapenda kampani au watu wasio wapole wapole yaani napenda watu waliochangamka(wahuni wahuni)
- Nayachukia mahusiano(ya kimapenzi) naweza kumtongoza msichana ila baada ya kukubali nkikaa nae kidogo nachoka na naachana nao.
- Mara nyingne Ni muongeaji Sana kwa watu nisiowajua ama ninaowajua ila wakati mwingne nakuwa mkimya Sana naweza maliza muda sijaongea na mtu
- Sinaga aibu.
- Napenda Sana kuishi/kukaa pekeangu pekeangu muda mwingne natamani dunia nzima ningebaki mwenyewe.
- Nina huruma Sana.
- Sipendi sehemu zenye starehe starehe (hii sjui kutokana na malezi) mf birthday party izi ama sehemu za kuchanganyika na watu, napenda Mambo ya fujofujo.
- Nikimbembeleza mtu au mpenzi wangu roho inaniuma Sana najiona Kama sjui Nini yaani kiufupi sipendi maswala ya kubembelezana (ata Mimi sipendi kubembelezwa.
- Napenda Sana uadui na pia kuwa kwenye mazingira magumu(waga ninakuwaga na mawazo Sana ) na bila kuwa na mawazo sifanyagi vitu vizuri(malezi nilokulia).
- Sipendi kufatilia mtu na Mimi sipendi kufatiliwa Mambo yangu.
- Story zangu waga haziko romantic napenda story za matukio matukio ya ajabu na ya kiume sinaga story za kuvutia za mapenzi
Hayo ni machache tu, je me ni mtu wa aina gani maana yake nashindwa kuelewa! Msaada tafadhali
Duh kama mmNaomba kwa wataalamu humu mniambie Mimi ni mtu wa Aina gani kwa izi sifa zangu;
- Mimi ni mkorofi (tokea utotoni napenda Sana ugomvi na sehemu zenye ugomvi na shari)
- Mimi ni mkimya (yaani sipendi kuongea na pia sipendi mtu aniongeleshe kwa muda mrefu nachukia sana yaani natak nikiwa na wewe ukae kimya usiniulze maswali mengi)
- Ninapenda kampani au watu wasio wapole wapole yaani napenda watu waliochangamka(wahuni wahuni)
- Nayachukia mahusiano(ya kimapenzi) naweza kumtongoza msichana ila baada ya kukubali nkikaa nae kidogo nachoka na naachana nao.
- Mara nyingne Ni muongeaji Sana kwa watu nisiowajua ama ninaowajua ila wakati mwingne nakuwa mkimya Sana naweza maliza muda sijaongea na mtu
- Sinaga aibu.
- Napenda Sana kuishi/kukaa pekeangu pekeangu muda mwingne natamani dunia nzima ningebaki mwenyewe.
- Nina huruma Sana.
- Sipendi sehemu zenye starehe starehe (hii sjui kutokana na malezi) mf birthday party izi ama sehemu za kuchanganyika na watu, napenda Mambo ya fujofujo.
- Nikimbembeleza mtu au mpenzi wangu roho inaniuma Sana najiona Kama sjui Nini yaani kiufupi sipendi maswala ya kubembelezana (ata Mimi sipendi kubembelezwa.
- Napenda Sana uadui na pia kuwa kwenye mazingira magumu(waga ninakuwaga na mawazo Sana ) na bila kuwa na mawazo sifanyagi vitu vizuri(malezi nilokulia).
- Sipendi kufatilia mtu na Mimi sipendi kufatiliwa Mambo yangu.
- Story zangu waga haziko romantic napenda story za matukio matukio ya ajabu na ya kiume sinaga story za kuvutia za mapenzi
Hayo ni machache tu, je me ni mtu wa aina gani maana yake nashindwa kuelewa! Msaada tafadhali
Basi nenda hospital..wanatoa ushauri na dawa pia ya kukutulizaAsante kwa ushauri wako Mkuu ntajitahidi Sana kwadri ya uwezo wangu kuifanyia kazi ndo saiv naamin magonjwa ya akili Ni real nachanganyikiwa sana
Huyu lazima awe mkurya wa kyabakariNaunga mkono hoja. Jini mahaba.
Daaah pole Sana kmbe siko pekeangu naimani tutapata muongozo ata Mimi pia nakuwa muongeaji Sana Kama nikikuzoeaMambo mengi tunaendana isipokuwa mm ni mtu wa aibu sana, sipendi kuongea na watu sanasana tusiojuana, kuzoeana na watu wapya/stranger inachukua muda sana, nakuwa muongeaji sana nikiwa na watu wangu tuliozoeana,
Huwa na siwezi kuwa na mahusiana kwa muda mrefu kutokana na tabia yangu ya kupenda kukaa kimya na kutopokea simu hata wiki, sijawahi kumuomba girlfriend wangu msamaha, mara ya mwisho kuomba msamaha nililazimishwa kumuomba Dada yangu mkubwa msamaha baada ya kumpiga ilikuwa 2004 nikiwa darasa3 yeye akiwa form1, dah nililia sana ile siku
Kuna watu wengi humu hawajastaarabika wanahisi kila kitu Ni kufanya masihara na kuchekesha hawajui matatizo haya yanachukua maisha ya watuMkuu pole kwa tatizo linalo kukabili na chngamoto za wana jf baada ya kutoa ushauli wanaleta vijimaneno vyao hawajui watu wapitia challenge nyingi
Hakuna haja ya pole sababu kwangu sioni kama ni disorder bali it's just a lifestyle, napata muda mwingi kusolve mambo yangu binafsi pia muda wa kutosha kujifunza vitu vipya through articles na site mbalimbaliDaaah pole Sana kmbe siko pekeangu naimani tutapata muongozo ata Mimi pia nakuwa muongeaji Sana Kama nikikuzoea
Tatizo lilianza miaka mingi iliyopita baada ya wazazi kutengana Sasa mimi sikujua majirani walikuwa na shida gani na mamangu lakini hawakunionyesha uungwana ata kidogo walinitenga Sana ata kuingia majumbani mwao ilikuwa shida walinizuia ama wakiniruhusu waliniweka pekeangu chini Apo ndo mwanzo wangu wa kuanza kujitenga ila nilitamani kukaa na watu
Tabia ya kubishana na wazazi na wakubwa ilianza miaka ya baadae kidogo na sikuishia kubishana nao ata kupigana nao ingali nilikuwa mdogo hii ilitokana na tabia ya wao kupenda kunipiga piga ovyo
Mashuleni na mtaani Hali ilikuwa ivo ivo(siyo walimu Wala wanafunzi nilipigana nao) ile Hali ya kutengwa tengwa ilikaa akilini na nilikuwa najihisi Mimi sina faida yoyote kwa mtu yyte na ata mtu akinialika kwenda kwao au kwenye sherehe yoyote sikwenda niliona Hawa wanaenda kunitenga
Yapo mengi Sana ila ayo Ni machache zaidi ukitaka mengine ntaongeza.
Nimejitahidi Sana kusahau yaliyopita ila yanakuja automatic yenyewe yaani saiv matendo ya zamani kwa asilimia kubwa nimeacha ila Sasa saiv ndo naona kabisa nachanganyikiwa yaani Kuna muda nakuwa Kama chizi sjui kwanini Hali hi naipata.
Sasa unataka tukuambie nini, kwani hujijuwi kuwa wewe ni muhuni tayari?Naomba kwa wataalamu humu mniambie Mimi ni mtu wa Aina gani kwa izi sifa zangu;
- Mimi ni mkorofi (tokea utotoni napenda Sana ugomvi na sehemu zenye ugomvi na shari)
- Mimi ni mkimya (yaani sipendi kuongea na pia sipendi mtu aniongeleshe kwa muda mrefu nachukia sana yaani natak nikiwa na wewe ukae kimya usiniulze maswali mengi)
- Ninapenda kampani au watu wasio wapole wapole yaani napenda watu waliochangamka(wahuni wahuni)
- Nayachukia mahusiano(ya kimapenzi) naweza kumtongoza msichana ila baada ya kukubali nkikaa nae kidogo nachoka na naachana nao.
- Mara nyingne Ni muongeaji Sana kwa watu nisiowajua ama ninaowajua ila wakati mwingne nakuwa mkimya Sana naweza maliza muda sijaongea na mtu
- Sinaga aibu.
- Napenda Sana kuishi/kukaa pekeangu pekeangu muda mwingne natamani dunia nzima ningebaki mwenyewe.
- Nina huruma Sana.
- Sipendi sehemu zenye starehe starehe (hii sjui kutokana na malezi) mf birthday party izi ama sehemu za kuchanganyika na watu, napenda Mambo ya fujofujo.
- Nikimbembeleza mtu au mpenzi wangu roho inaniuma Sana najiona Kama sjui Nini yaani kiufupi sipendi maswala ya kubembelezana (ata Mimi sipendi kubembelezwa.
- Napenda Sana uadui na pia kuwa kwenye mazingira magumu(waga ninakuwaga na mawazo Sana ) na bila kuwa na mawazo sifanyagi vitu vizuri(malezi nilokulia).
- Sipendi kufatilia mtu na Mimi sipendi kufatiliwa Mambo yangu.
- Story zangu waga haziko romantic napenda story za matukio matukio ya ajabu na ya kiume sinaga story za kuvutia za mapenzi
Hayo ni machache tu, je me ni mtu wa aina gani maana yake nashindwa kuelewa! Msaada tafadhali🙏