Naomba kujua mimi ni kundi gani /mtu wa aina gani

Mkuu pole kwa tatizo linalo kukabili na chngamoto za wana jf baada ya kutoa ushauli wanaleta vijimaneno vyao hawajui watu wapitia challenge nyingi
 
Naomba kwa wataalamu humu mniambie Mimi ni mtu wa Aina gani kwa izi sifa zangu;

- Mimi ni mkorofi (tokea utotoni napenda Sana ugomvi na sehemu zenye ugomvi na shari)

- Mimi ni mkimya (yaani sipendi kuongea na pia sipendi mtu aniongeleshe kwa muda mrefu nachukia sana yaani natak nikiwa na wewe ukae kimya usiniulze maswali mengi)

- Ninapenda kampani au watu wasio wapole wapole yaani napenda watu waliochangamka(wahuni wahuni)

- Nayachukia mahusiano(ya kimapenzi) naweza kumtongoza msichana ila baada ya kukubali nkikaa nae kidogo nachoka na naachana nao.

- Mara nyingne Ni muongeaji Sana kwa watu nisiowajua ama ninaowajua ila wakati mwingne nakuwa mkimya Sana naweza maliza muda sijaongea na mtu

- Sinaga aibu.

- Napenda Sana kuishi/kukaa pekeangu pekeangu muda mwingne natamani dunia nzima ningebaki mwenyewe.

- Nina huruma Sana.

- Sipendi sehemu zenye starehe starehe (hii sjui kutokana na malezi) mf birthday party izi ama sehemu za kuchanganyika na watu, napenda Mambo ya fujofujo.

- Nikimbembeleza mtu au mpenzi wangu roho inaniuma Sana najiona Kama sjui Nini yaani kiufupi sipendi maswala ya kubembelezana (ata Mimi sipendi kubembelezwa.

- Napenda Sana uadui na pia kuwa kwenye mazingira magumu(waga ninakuwaga na mawazo Sana ) na bila kuwa na mawazo sifanyagi vitu vizuri(malezi nilokulia).

- Sipendi kufatilia mtu na Mimi sipendi kufatiliwa Mambo yangu.

- Story zangu waga haziko romantic napenda story za matukio matukio ya ajabu na ya kiume sinaga story za kuvutia za mapenzi

Hayo ni machache tu, je me ni mtu wa aina gani maana yake nashindwa kuelewa! Msaada tafadhali
Bipolar
 
Utakuwa na multiple personality disorder mkuu iliyotokana na experience ya hapo nyuma.

Ok nimepitia uzi wote nimegundua ni serious nashauri umuone daktari wa akili.
 
Naomba kwa wataalamu humu mniambie Mimi ni mtu wa Aina gani kwa izi sifa zangu;

- Mimi ni mkorofi (tokea utotoni napenda Sana ugomvi na sehemu zenye ugomvi na shari)

- Mimi ni mkimya (yaani sipendi kuongea na pia sipendi mtu aniongeleshe kwa muda mrefu nachukia sana yaani natak nikiwa na wewe ukae kimya usiniulze maswali mengi)

- Ninapenda kampani au watu wasio wapole wapole yaani napenda watu waliochangamka(wahuni wahuni)

- Nayachukia mahusiano(ya kimapenzi) naweza kumtongoza msichana ila baada ya kukubali nkikaa nae kidogo nachoka na naachana nao.

- Mara nyingne Ni muongeaji Sana kwa watu nisiowajua ama ninaowajua ila wakati mwingne nakuwa mkimya Sana naweza maliza muda sijaongea na mtu

- Sinaga aibu.

- Napenda Sana kuishi/kukaa pekeangu pekeangu muda mwingne natamani dunia nzima ningebaki mwenyewe.

- Nina huruma Sana.

- Sipendi sehemu zenye starehe starehe (hii sjui kutokana na malezi) mf birthday party izi ama sehemu za kuchanganyika na watu, napenda Mambo ya fujofujo.

- Nikimbembeleza mtu au mpenzi wangu roho inaniuma Sana najiona Kama sjui Nini yaani kiufupi sipendi maswala ya kubembelezana (ata Mimi sipendi kubembelezwa.

- Napenda Sana uadui na pia kuwa kwenye mazingira magumu(waga ninakuwaga na mawazo Sana ) na bila kuwa na mawazo sifanyagi vitu vizuri(malezi nilokulia).

- Sipendi kufatilia mtu na Mimi sipendi kufatiliwa Mambo yangu.

- Story zangu waga haziko romantic napenda story za matukio matukio ya ajabu na ya kiume sinaga story za kuvutia za mapenzi

Hayo ni machache tu, je me ni mtu wa aina gani maana yake nashindwa kuelewa! Msaada tafadhali
Duh kama mm
 
Asante kwa ushauri wako Mkuu ntajitahidi Sana kwadri ya uwezo wangu kuifanyia kazi ndo saiv naamin magonjwa ya akili Ni real nachanganyikiwa sana
Basi nenda hospital..wanatoa ushauri na dawa pia ya kukutuliza
 
Mambo mengi tunaendana isipokuwa mm ni mtu wa aibu sana, sipendi kuongea na watu sanasana tusiojuana, kuzoeana na watu wapya/stranger inachukua muda sana, nakuwa muongeaji sana nikiwa na watu wangu tuliozoeana,

Huwa na siwezi kuwa na mahusiana kwa muda mrefu kutokana na tabia yangu ya kupenda kukaa kimya na kutopokea simu hata wiki, sijawahi kumuomba girlfriend wangu msamaha, mara ya mwisho kuomba msamaha nililazimishwa kumuomba Dada yangu mkubwa msamaha baada ya kumpiga ilikuwa 2004 nikiwa darasa3 yeye akiwa form1, dah nililia sana ile siku
Daaah pole Sana kmbe siko pekeangu naimani tutapata muongozo ata Mimi pia nakuwa muongeaji Sana Kama nikikuzoea
 
Mkuu pole kwa tatizo linalo kukabili na chngamoto za wana jf baada ya kutoa ushauli wanaleta vijimaneno vyao hawajui watu wapitia challenge nyingi
Kuna watu wengi humu hawajastaarabika wanahisi kila kitu Ni kufanya masihara na kuchekesha hawajui matatizo haya yanachukua maisha ya watu
 
Utakuwa na multiple personality disorder mkuu iliyotokana na experience ya hapo nyuma.

Ok nimepitia uzi wote nimegundua ni serious nashauri umuone daktari wa akili.
Asante kwa ushauri nipo kwenye mchakato wa kutafuta daktari
 
Daaah pole Sana kmbe siko pekeangu naimani tutapata muongozo ata Mimi pia nakuwa muongeaji Sana Kama nikikuzoea
Hakuna haja ya pole sababu kwangu sioni kama ni disorder bali it's just a lifestyle, napata muda mwingi kusolve mambo yangu binafsi pia muda wa kutosha kujifunza vitu vipya through articles na site mbalimbali
 
Tatizo lilianza miaka mingi iliyopita baada ya wazazi kutengana Sasa mimi sikujua majirani walikuwa na shida gani na mamangu lakini hawakunionyesha uungwana ata kidogo walinitenga Sana ata kuingia majumbani mwao ilikuwa shida walinizuia ama wakiniruhusu waliniweka pekeangu chini Apo ndo mwanzo wangu wa kuanza kujitenga ila nilitamani kukaa na watu

Tabia ya kubishana na wazazi na wakubwa ilianza miaka ya baadae kidogo na sikuishia kubishana nao ata kupigana nao ingali nilikuwa mdogo hii ilitokana na tabia ya wao kupenda kunipiga piga ovyo

Mashuleni na mtaani Hali ilikuwa ivo ivo(siyo walimu Wala wanafunzi nilipigana nao) ile Hali ya kutengwa tengwa ilikaa akilini na nilikuwa najihisi Mimi sina faida yoyote kwa mtu yyte na ata mtu akinialika kwenda kwao au kwenye sherehe yoyote sikwenda niliona Hawa wanaenda kunitenga

Yapo mengi Sana ila ayo Ni machache zaidi ukitaka mengine ntaongeza.


Multiple personality disorder (MPD)

Pole sana Chief, jaribu kwanza kutafuta articles zinazozungumzia hiyo kitu hapo juu, jisomee mwenyewe huku ukitafiti kama unaendana na hio disorder then ndipo utafahamu ni msaada wa aina gani unahitaji.

Binafsi kwa haya maelezo yako mafupi naweza kusema hiyo MPD inakuhusu ila inahitaji kwenda ndani zaidi kwenye mizizi kujua hasa namna ya kukutibia.

Husithubutu kwenda kwa “waganga” na “waganguzi”, yours is a psychological problem. Self inflicted. Inborn mostly from over hyped ego or/& insecurity issues.

Prayers do help, only if you know the root cause.
 
Nimejitahidi Sana kusahau yaliyopita ila yanakuja automatic yenyewe yaani saiv matendo ya zamani kwa asilimia kubwa nimeacha ila Sasa saiv ndo naona kabisa nachanganyikiwa yaani Kuna muda nakuwa Kama chizi sjui kwanini Hali hi naipata.

Upo location gani Chief?
 
Naomba kwa wataalamu humu mniambie Mimi ni mtu wa Aina gani kwa izi sifa zangu;

- Mimi ni mkorofi (tokea utotoni napenda Sana ugomvi na sehemu zenye ugomvi na shari)

- Mimi ni mkimya (yaani sipendi kuongea na pia sipendi mtu aniongeleshe kwa muda mrefu nachukia sana yaani natak nikiwa na wewe ukae kimya usiniulze maswali mengi)

- Ninapenda kampani au watu wasio wapole wapole yaani napenda watu waliochangamka(wahuni wahuni)

- Nayachukia mahusiano(ya kimapenzi) naweza kumtongoza msichana ila baada ya kukubali nkikaa nae kidogo nachoka na naachana nao.

- Mara nyingne Ni muongeaji Sana kwa watu nisiowajua ama ninaowajua ila wakati mwingne nakuwa mkimya Sana naweza maliza muda sijaongea na mtu

- Sinaga aibu.

- Napenda Sana kuishi/kukaa pekeangu pekeangu muda mwingne natamani dunia nzima ningebaki mwenyewe.

- Nina huruma Sana.

- Sipendi sehemu zenye starehe starehe (hii sjui kutokana na malezi) mf birthday party izi ama sehemu za kuchanganyika na watu, napenda Mambo ya fujofujo.

- Nikimbembeleza mtu au mpenzi wangu roho inaniuma Sana najiona Kama sjui Nini yaani kiufupi sipendi maswala ya kubembelezana (ata Mimi sipendi kubembelezwa.

- Napenda Sana uadui na pia kuwa kwenye mazingira magumu(waga ninakuwaga na mawazo Sana ) na bila kuwa na mawazo sifanyagi vitu vizuri(malezi nilokulia).

- Sipendi kufatilia mtu na Mimi sipendi kufatiliwa Mambo yangu.

- Story zangu waga haziko romantic napenda story za matukio matukio ya ajabu na ya kiume sinaga story za kuvutia za mapenzi

Hayo ni machache tu, je me ni mtu wa aina gani maana yake nashindwa kuelewa! Msaada tafadhali🙏
Sasa unataka tukuambie nini, kwani hujijuwi kuwa wewe ni muhuni tayari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom