Asante sana mkuuSOMO: Jinsi ya kutambua simu fake, mtumba, refublished, wizi na Matapeli
SOMO: Jinsi ya kutambua simu fake, mtumba, refublished, wizi na Matapeli
Dunia ya leo usipokua mjanja na mpekuzi utageuzwa mtaji na wenzako kila siku, Matapeli wameongezeka, wezi wamejaa, watu wenye kila aina ya mbinu za ulaghai n.k n.k. Katika Maisha nilishawahi tapeliwa mara mojaa, iliniuma sanaa na kuanzia pale nikasema nikitapeliwa au kuingizwa mkenge mara ya...www.jamiiforums.com
angalia kama ina batteryHope mu wazima wa afya weekend hii...
Lengo la huu uzi ni kutaka kaujua mambo ya muhimu ya kuzingatia wakati wa kununua simu has a iPhones kuanzia specifications, model,ubora wa betri na mengine ambayo sijataja.
Asante.