Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 785
- 3,220
Jambo hili tumebishana sana na watu hapa, Je ili kuwa mwanasheria kamili lazima uende law school?
Je kwa kada kama madactari, nesi, famasi je kwenda internship ni lazima?
Namaanisha je hawezi kuajiliwa bila kwenda law school au internship? Kama ni kweli je vip kwa wale wa diploma?
Je kwa kada kama madactari, nesi, famasi je kwenda internship ni lazima?
Namaanisha je hawezi kuajiliwa bila kwenda law school au internship? Kama ni kweli je vip kwa wale wa diploma?