Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 341
- 542
Salaam wakuu, nauliza wenye uzoefu itakuaje kama aliyekuwa raia wa Tanzania akipata uraia wa Marekani ilihali Tanzania hairuhusu kuwa na uraia wa nchi mbili?
Je Mtanzania huyu akirudi Tanzania na passport ya Marekani atalazimika kuwa na Visa ya Tanzania?
Je Mtanzania huyu akirudi Tanzania na passport ya Marekani atalazimika kuwa na Visa ya Tanzania?